BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,732
- 5,006
Hii kampuni ya kishenzi sana siku hizi ukila hela wanaamua wanakupa saa ngapi.
Hii mara ya nne wanaropoka subiri masaa 48 huu ungese kabisa.
Halafu ina mkurugenzi kabisa aliienda shule hope hajui upuuzi wa wafanyakazi wake.
Muwe makini kama mnahela zenu za kubetia mnataka kupata kwa wakati msibeti na hii kampuni imekuwa kama majambazi.
Hii mara ya nne wanaropoka subiri masaa 48 huu ungese kabisa.
Halafu ina mkurugenzi kabisa aliienda shule hope hajui upuuzi wa wafanyakazi wake.
Muwe makini kama mnahela zenu za kubetia mnataka kupata kwa wakati msibeti na hii kampuni imekuwa kama majambazi.