Hii kampuni ya kishenzi sana sikuhizi ukila hela wanaamua wanakupa saa ngapi
Hii mara ya nne wanaropoka subiri masaa 48 huu ungese kabisa
Halafu ina mkurugenzi kabisa aliienda shule hope hajui upuuzi wa wafanyakazi wake
Muwe makini kama mnahela zenu za kubetia mnataka kupata kwa wakati msibeti na hii kampuni imekuwa kama.Majambazi