Dada akee hivyohivyo mpaka mwishoThatha thijui kidhungu itakuwaje leo[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Asante sana niliwasahauYoung blood
Sergio 5
Kagame
Beira
Jose
Salthank
muosha rungu
HahahahhahhHahaaaaaaa wambea leo umewaweza noma sana, mfuatiliaji atakua Nyani wa USa pekee..
Cc. Wambea wote.
Halaf nilisahau ujue kukuita sijui mambo ya lugha ya leo yamenichanganyaAndaa dictionary kabisa ...tutapambana na lugha hii hii
Ila chikira ujue unanifurahisha sana ujue kuna sehemu nilikukuta kama mara mbili umenifanya nacheka mwenyewe tu kama chiziNgoja kwanza nikagonge, konyagi kidogo ku bust kiingilishi changu!
Haya ngoj leo nitakuwa bubu[emoji21][emoji21][emoji21]emmytaDada akee hivyohivyo mpaka mwisho
hahahahaha, tehe tehe wapi huko ulinikuta, hahahahaahaha.Ila chikira ujue unanifurahisha sana ujue kuna sehemu nilikukuta kama mara mbili umenifanya nacheka mwenyewe tu kama chizi
Hii interview tutashuhudia mengi leoHalaf nilisahau ujue kukuita sijui mambo ya lugha ya leo yamenichanganya
Hahahahhahh