Beti hivi upate faida

Beti hivi upate faida

Bwana Bongo

Senior Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
146
Reaction score
212
Miaka ya hivi karibuni yamezuka makampuni mengi ya kubetisha (Kamari)

Katika uchunguzi wangu nimegundua makampuni haya yako vizuri sana kulinda pesa za wateja mara tu wanapo deposit katika app au website zao

Sasa nikajikuta napata wazo moja kwa wiki niweke makadilio ya chini kabisa mtu huyu anaweza kubeti elf 10, ndani ya wiki nne mtu huyu atakuwa amepoteza elf 40, mtu huyu anaweza kumaliza miezi sita hajala mkeka unaozidi hela ya mwezi mmoja ambayo anatumia kubetia

Ni kawaza badala ya kubeti kwanini asitumie app au website hizi kuhifadhia pesa, tuashumu iwe kila anajisikia au anapopata hamu ya kubet ana deposit ile pesa kisha haibetii

Kwahiyo ikiwa anabeti kwa wiki elfu 10 ndani ya mwezi atakuwa ameingiza elfu 40 kwa kutumia app au website ile ambayo angetumia kupoteza pesa bila faida.

#Bwanabongo
 
Miaka ya hivi karibuni yamezuka makampuni mengi ya kubetisha (Kamari)

Katika uchunguzi wangu nimegundua makampuni haya yako vizuri sana kulinda pesa za wateja mara tu wanapo deposit katika app au website zao

Sasa nikajikuta napata wazo moja kwa wiki niweke makadilio ya chini kabisa mtu huyu anaweza kubeti elf 10, ndani ya wiki nne mtu huyu atakuwa amepoteza elf 40, mtu huyu anaweza kumaliza miezi sita hajala mkeka unaozidi hela ya mwezi mmoja ambayo anatumia kubetia

Ni kawaza badala ya kubeti kwanini asitumie app au website hizi kuhifadhia pesa, tuashumu iwe kila anajisikia au anapopata hamu ya kubet ana deposit ile pesa kisha haibetii

Kwahiyo ikiwa anabeti kwa wiki elfu 10 ndani ya mwezi atakuwa ameingiza elfu 40 kwa kutumia app au website ile ambayo angetumia kupoteza pesa bila faida.

#Bwanabongo
Kwahyo unashawishi watu wafanye Money laundery utakatishaji Pesa??
Unajua Hukumu ya Makosa Hayo??
 
Kwahyo unashawishi watu wafanye Money laundery utakatishaji Pesa??
Unajua Hukumu ya Makosa Hayo??
Kwani kuna kosa kama nta deposit bila pesa kuchezea kamari kwa siku kadhaa kisha nikaitoa pesa yangu? embu nipe kifungu kinachosema nikosa kisheria nijifunze hapa
 
Miaka ya hivi karibuni yamezuka makampuni mengi ya kubetisha (Kamari)

Katika uchunguzi wangu nimegundua makampuni haya yako vizuri sana kulinda pesa za wateja mara tu wanapo deposit katika app au website zao

Sasa nikajikuta napata wazo moja kwa wiki niweke makadilio ya chini kabisa mtu huyu anaweza kubeti elf 10, ndani ya wiki nne mtu huyu atakuwa amepoteza elf 40, mtu huyu anaweza kumaliza miezi sita hajala mkeka unaozidi hela ya mwezi mmoja ambayo anatumia kubetia

Ni kawaza badala ya kubeti kwanini asitumie app au website hizi kuhifadhia pesa, tuashumu iwe kila anajisikia au anapopata hamu ya kubet ana deposit ile pesa kisha haibetii

Kwahiyo ikiwa anabeti kwa wiki elfu 10 ndani ya mwezi atakuwa ameingiza elfu 40 kwa kutumia app au website ile ambayo angetumia kupoteza pesa bila faida.

#Bwanabongo
Binafsi sijaelewa.
 
FB_IMG_1730567874403.jpg
 
Kwani kuna kosa kama nta deposit bila pesa kuchezea kamari kwa siku kadhaa kisha nikaitoa pesa yangu? embu nipe kifungu kinachosema nikosa kisheria nijifunze hapa
Utakuwa Unakutwa na Makosa kama Sita hivi 🤣
Kosa la Kwanza Money Laundering, Kosa la Pili Misuse of Financial Sevices, Kosa la Tatu Evasion of Reporting Obligation na Tax Evasion...

Japo Kuna makosa Kama Money Laundering Unaweza Ukaliepuka kama Financial Intelligence Unit(FIU) wakithibitisha Hizo pesa Umezipata Kihalali na wakawa na Uhakika wa Halali yako na Uchunguzi ukafanyika Ikagundulika Kweli pesa Ulizipata Kihalali ila zisiwe na makando kando na ukaziweka kwenye wallet ya Bet Apps...

Ila hayo makosa Mengine Hukwepi Bablai Hiyo Debe inakuhusu..

Ngoja Nikuchambulie sasa..

1.Money Laundering (Sheria ya Anti-Money Laundering Act, 2006)

Under Section ya 12 ya Anti-Money Laundering Act, 2006, Utakuwa Umefanya Kitu kinaitwa..Prohibited Activities:

Nanukuu Sheria

“A person commits the offense of money laundering if they directly or indirectly conceal, disguise, convert, transfer, or handle funds they know or ought to know are proceeds of unlawful activities.”

Penalty:

“Any person who commits the offense of money laundering shall, on conviction, be liable to a fine of not less than TZS 500 million or to imprisonment for a term of not less than seven years and not more than ten years, or both.”

Kwenye scenario yako ya Kuweka pesa kwenye betting wallets na Ku withdraw money without engaging in betting, this may be viewed as a way to obscure the origin of the funds (a key indicator of money laundering).

Na ndo maan nimesema Hapo FIU (Financil Intelligemce Unit) watafanya Uchunguzi Kama Ni kijana Tu huna Kazi ya halali ya Kufanya (Umeishaaa) kama Pesa Uliyoweka Ni Zaidi ya Mshahra wako au 60% ya Mshahara wako Itabdii Utoe Maelezo ya Kutosha Pesa Umetoa wapi na Kuziweka kwenye apps wallet ukiwa Huna maelezo ya Kutosha Hili kosa Linakuhusu..


2. Misuse of Financial Services (The Banking and Financial Institutions Act, 2006)

Kwa kutumia Section ya 17 ya Banking and Financial Institutions Act, misuse of financial services iko prohibited..

Nanukuuu:

"No person shall use a financial institution, e-money wallet, or other regulated service in a manner inconsistent with the purposes for which the service is designed."

Penalty:

“A person who contravenes this provision commits an offense and is liable to a fine or such administrative penalties as prescribed by the Bank of Tanzania.”

Sasa kwenye Hili Kosa Huchomoki Hata Ukichomoka kwemye Utakatishaji pesa Ila kwenye Hili Mzee Hutoki kwa sababu umetumia Application kama Benki wakati sio matumizi yake kile kitendo cha kutumia betting wallets as a “bank” without participating in the intended activities yaani betting constitutes misuse of the platform na Hapa wanaweza kukusamehe wakakuchapa Penalty tu ila Kifungo hapa Hakuna.na inategemea na Huruma ya BOT

ila Mimi nina uhakika Lazima wakudake na Yote..
maana Kuthbitisha Pesa ya Halali kwa Tanzania Ni Changamoto kidogo..


3. Evasion of Reporting Obligations (Anti-Money Laundering Act, Section 17)

Sasa hapa kama wakikukuta na Makosa Hapo juu yote mawili hapaa lazima waangalue kama Pesa uliyo deposits au withdrawals exceed the reporting threshold (e.g., TZS 10 million for suspicious transactions) and the user intentionally structures transactions to avoid reporting:

Nanukuu:

"Any person who structures transactions to avoid statutory reporting requirements commits an offense.”

Penalty:

“A fine not exceeding TZS 100 million or imprisonment for a term not exceeding five years, or both.”

4. Tax Evasion (Income Tax Act, 2004)


Ikitokea Umewashinda kwenye Money Laundering Mama Yangu Hiyo ya Pili na ya tatu Huchomoki ila Ukichomoka Ukatoa na Ushahidi Kuwa Hizo pesa Ni za kwako na Umetoa kwenye Biashara yako au Kazi yoyote nyingine na Hicho kiwango ulichokitoa Ukadeposit kwenye Wallet apps hujareport TRA au hakijawa declared to the Tanzania Revenue Authority (TRA) mamamaaamaaaaa Imba Ile Nyimbo Ya Kasongo ti 😅😅🙌🙌

NAnukuu:

“Any person who fails to report taxable income or engages in transactions intended to obscure income commits the offense of tax evasion.”

Penalty:

“A fine equal to twice the tax amount evaded, or imprisonment for a term not exceeding three years.”.



nafikiri Mpaka Hapo Umenielewa..


Na Kumbuka Kutokujua Sheria Sio Excuse ya Kuvunja Sheria 😅😅
Nakutakia Kazi njema Ya Kudeposit Pesa kwenye Application za Betting na Kuzitoa Baada ya Siku kadhaa huku Ukisubiri wakudake ili Wakuonyshe sehemu salama ya Kutunza Pesa
 
Hakuna kosa lolote hapo.

Ninachoona ni kama anafanya saving.
Badala ya ku deposit na kuweka odds yeye anaiacha kwenye account.
Umekurupuka
Soma Tena Sheria mkuu Usiseme Kitu kwa Matakwa Yako kwakywa Wewe unaona Ni sawa..

Mwishoni Nimeandika hivi Kutokujua Sheria haiwi excuse ya wewe Kufanya Makosa..
Soma Hizo sheria nilizoziandika na Vifungu vya Sheria Nilivyonukuu..

Soma hiyo Post ya 6 (COMMENT no 6) kwanu Uvivu wa Nini..

Mimi Si wa Kulaumiwa wewe Kutokusoma Hizo sheria na Kuona ni sawa..

Yaani Unataka Ufanye saving kwenye Wallet ya Kubet 😅😅🤣🤣 Dah Walimu wanaelimishaje Wajinga Mbna Mimi Siwezi

Kama Hujui au Huna Ufahamu wa Sheria Ni bora ukae kimya Kuliko Kutoa Conclusion ya Kitu usichokifahamu..
Sasa kudeposit na kuiacha Kwenye Account pekee Ni kosa Kisheria nimeelezea Vizuri kabisa kama Misuse of Financial Services ambayo ni Kosa Chini ya Kifungu cha 17 cha The Banking and Financial Institutions Act ya mwaka 2006

matumizi ya Wallet za Betts Apps hazikuundwa kwa ajili ya Kuhifadhi pesa Ziliundwa kwa ajili ya Kuhifadhi pesa kwa ajili ya Kubetia..

Kuna Kitu nimegundua Kwamba Huna Unalojua kuhusu Sheria ila Sio Jukumu langu Mimi Kwa sasa..
 
1xbet na parimatch ukideposit unatakiwa utumie 50 % ya ulichodeposit ndo uweze kutoa hela zako tena
 
Back
Top Bottom