wanajua mchezo wanaotuchezea!
100% agreed.Hakuna mwanaccm wa zama hizi anayeweza kufa akiwa amesimama. They have no balls [emoji2285][emoji2285][emoji2285]
Hivi kwa akili ya kawaida inawezekana aliyekuwa waziri mkubwa wa nje wa jmt ambaye alikuwa na mawasiliano na bado ana mawáiliano na wakubwa wengine duniani awe na account ambayo sio verified?