mbona uanpindisha. wanumuogopa dk slaa, kwani waislam wengi wemeshtuka
Achana na huyu mgonjwa M. Sugu, nashangaa kwa nini watu huwa wanapoteza muda wao kusoma post zake za kiwendawazimuSiamini kama kuna sehemu nimezungumzia mapadri hapo! Nadhani kuna haja ya wewe kuisoma tena post yangu!!
Hayo ni matusi kwa waislamu ina maana kina prof haroub othan wao hakusoma dini yako (madrasa) shivji, jumanne maghembe, prof mtulia, dr gharib bilal, dr salim ahmed salim, prof lipumba, dr msabah, dr hussein mwinyi, prof kapuya na wengi wengineo.Siyo kujiona ndio ilivyo. mnapoteza muda mwingi kwenye madaras na kuzaa kama kuku. Vifaranga zaidi ya 20 kichwa kimoja cha baba kitavipa elimu ya maana...zaidi zaidi madreva tu
wanaoenda mlimani ni wenye akili waliofaulu vizuri si kwa kigezo cha dini, wa-udom wanapendelewa ushahidi ninao ukiutakaudsm vile? Wakiristo 99%
Habari siielewi!
hahahah, unatka kuficha kitiu. maheikh wengi wanamuogpa dk slaa. huo ndio ukweli ukiupinga ni basi
udsm vile? Wakiristo 99%
Hebu zitaje hizo shule? halafu utuwekee na ufaulu wake kwa 3 yr nyuma.Dk slaa kufunga shule za waislam na kugeuza makanisa? Mdio maana munamuona jk mdini kwa sababu hajafanya hivyo?
watanzania wote wanamkubali slaa
Anaogopwa kikwete kwani wengi wamemstukia kwa sababu anawakumbatia waislamu kwa kuiweka hata kwenye ilani mamnbo ya mahakama ya kadhi na oic ambayo ni mambo ya kiislamu...........kikwete amewatiliza waislamu wasiwe na wasi kwani atawaletea mambo hayo kwa gharama yoyote........hiyo ni kwa vitendo ila kwa maneno slaa ndiyo mdini...............wakristo wamestuka janja ya waislamu kuanza kulalamika uongo wkt wao ndiyo wanaongoza propaganda za kidini nchini
The Following 2 Users Say Thank You to TUKUTUKU For This Useful Post:Pole sana kwa kuchelewa kujua kuwa Tanzania kuna udini.Tanzania ina udini wa hali ya juu ambao umekuwa ukifanyika chini kwa chini,kuwepo madarakani kwa rais Kikwete kumechochea zaidi kuongeza kwa hali hii!
The Following User Says Thank You to Jile79 For This Useful Post:Masheikh makafiri kweli!...wanapinga siasa kuingzwa kwenye dini ila wanakubali dini kuingizwa kweneye siasa ndito maana wanailazimisha ccm iwawekee mahakama ya kadhi wkt wanajua hayo ni mambo ya kiislamu..............kwa niniu waislamu wanapotosha watz wa kuwadanganya kuwa kuna dini zinaingilia siasa kwa maneno tu yakupikwa wakati wao wanaingilia kwenye siasa kwa vitendo?.............
Hiyo ni hofu yako babukwa maana hiyo mantuambia kwamba akishinda dk slaa taasisis zote za kiislam atazifunga?