Beyonce ajifungua watoto mapacha

Mda mwingi wanalazimisha kujificha. Tokea mwezi wa tano Beyonce kapotea katika vyombo vya habari na mitandao ya kijamii, kisa tu siku za kujifungua zi karibu. Alipojifungua mtoto wa kwanza alijificha miezi takriban sita bila kuonekana

Angekua mbongo,sasa hivi picha za mtoto zingekuwa zimesambaa kila kona.
 
Tofautisha Bongo na huko kwa watu maan ht wazaz wakiondoka mtoto ana uhakika wa Ku exist lkn kwetu bila mwenywe kuwepo c ajabu familia yako kupotea kwenye uso wa Dunia mfano ulizia mapato wanayopata familia ya Marehemu Michael Jackson
kweli kabisa. kibongobongo kuzaa mtoto wakati una umri mkubwa kuna hatari ya kuzaa mtoto wa mitaani
 
Angekua mbongo,sasa hivi picha za mtoto zingekuwa zimesambaa kila kona.
Kibongo bongo hii ingekuwa bonge la kiki. Mtoto angepigwa picha na kusambazwa mitandaoni kabla hata hajaanza kufumbua macho
 
Hongera zao

Vipi kuhusu msanii linah?
 
Bila shaka majina yatakuwa ni sunche na kapeto
hahaaaaaaa! Umenikumbusha mbali sana hawa watoto watundu. Ingekuwa ni maisha ya ukweli sasa hivi wangekuwa watu wazima na familia zao.
 
Mimba zao zinakua haraka ee,,kuna huyu Esha buheti hata hajifungui toka hata bey hajabeba mimba ye ana mimba mpaka bey kazaa ye bado tu
Duh.. ahsante kwa kunichekesha.. eti Esha Buheti hajifungui 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…