Beyonce ajifungua watoto mapacha

Beyonce na Jigga watu wakubwa duniani lakini wanatambua maana ya faragha,wanaficha baadhi ya mambo yao.
Yule Bibi wa Uganga na kiben10 chake tulioneshwa video hadi akiwa labor, loh!
 
Bora hawa mastaa wakubwa wanapata watoto kwenye ndoa zao lkn njoo Bongo bahat mbaya wanaweza kuigiza mambo mabaya kutoka mamtoni
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] check hata jay z anavyonyoa fresh tu kiheshima na anavaa vizuri ukija bongo kuna msanii mara kaotesha kimchicha kichwani!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] check hata jay z anavyonyoa fresh tu kiheshima na anavaa vizuri ukija bongo kuna msanii mara kaotesha kimchicha kichwani!
Wenzetu wanajua kazi ya sanaa maana yake nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…