Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Mji wa Zanzibar ambao pia ni nchi isiyo jitegemea , imekuwa kivutio kikuu cha utalii Africa na Duniani.
Fumba iliyopo kusini mwa Zanzibar, njia panda Dimani ilikuwa na uoto wa Asili , mikoko, minazi na mitondoo, lakini huyu mwekezaji kutoka Tanganyika amekata miti yote na kupanda minaazi, ameondoa uoto wa asili na kumekuwa kama jangwa.
Mamlaka husika imefunga macho, Raisi na wengine wamekaa kimya,
Fumba Town is built right on the shore of the Indian Ocean, offering a breathtaking sea view for each house. It is located 5Km from Zanzibar International Airport and 10Km from the ferry port, which makes it perfect connection point between the island and Dar es Salam for visitors and work commuters alike.
The Fumba Town Development combines state-of-the-art residential properties, based on sustainable infrastructure, with commercial educational and reactional areas to create a new modern lifestyle in Zanzibar.
Fumba iliyopo kusini mwa Zanzibar, njia panda Dimani ilikuwa na uoto wa Asili , mikoko, minazi na mitondoo, lakini huyu mwekezaji kutoka Tanganyika amekata miti yote na kupanda minaazi, ameondoa uoto wa asili na kumekuwa kama jangwa.
Mamlaka husika imefunga macho, Raisi na wengine wamekaa kimya,
Fumba Town is built right on the shore of the Indian Ocean, offering a breathtaking sea view for each house. It is located 5Km from Zanzibar International Airport and 10Km from the ferry port, which makes it perfect connection point between the island and Dar es Salam for visitors and work commuters alike.
The Fumba Town Development combines state-of-the-art residential properties, based on sustainable infrastructure, with commercial educational and reactional areas to create a new modern lifestyle in Zanzibar.