nkasoukumu
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 894
- 412
bhoke alinisikitisha sana kwanza kununanuna,hana uchangamfu kama wengine bora hata yule kichaa lotus mwanaume akimletea ujinga anatembeza mkono,
Bhoke is OUT from BBA
Si nilisikia kupigana hakuruhusiwi in da hauc...
hawa wanaume hawakuwa wakifanya ngono? what about richard na tatiana? mwisho na yule mnamibia? kwa ufupi mchezo wenyewe hauna mantiki yoyote, game nzima imejaa ni ngono, pombe na umbea na kama hao waandaaji wanaona unawaingizia basi wapeleke watu wenye staha!!! [/I]
Ni kweli wadada wote kutoka Tz waliowahi kwenda hawakuwa wanatupa burudani kama madume..latoya..kidogo liz alijitahidi hawa wa safari hii ndo kituko yule Lotus sijui alikuwa mvuta bange yule..Bhoke alikuwa cool sana ...afu tunakiwa tupeleke watoto wa ukweli sio magalasaWe didn't feature strong contestants so i expected wasingefika mbali but i always ask myself kwanini tukituma wanawake BBA they don't last for long