Bhoke na kurudi kwake kutoka BBA

Cjajua walitumia vigezo gan kuwachagua wewe na lotus,ambapo lotus yeye alishaonesha utovu wa nidham mapema na kutolewa,then ukabaki wewe je? Ulidhan kweli unaweza shinda hayo mahela? Umefanya mapenz watu tumekuona je ndio tulichokutuma? Hiv ukifika bba lazma ufanye mapenz? So watanzania walichukia na wamekua dhibu!
 
Haya mashindano ndio cultural imperialism kabisa, ujuha mtupu watoto wetu kwenda kukaa uchi...
 
mnh sema mfumo dume tu kufanya mapenzi mbona yule richard alifanya? na akashinda?

Tena alikuwa mume wa mtu na pete ya ndoa juu! Akimtamkia bidada 'I love u ' hiyo ni adultery!
 
Nadhani wanawake wameonyesha kutokuwa wawakilishi wazuri sana hapa kwetu Tanzania.
 
mnh sema mfumo dume tu kufanya mapenzi mbona yule richard alifanya? na akashinda?
Richard alifanya na akashinda ,je huyo mwanamke aliyefanya mapenzi na Richard alishinda? Tatizo hapa ni kufanya na kufanywa tu.
 
Wanawake bado hcho wanachoda kuwa 50% kwa 50% bado,
hata cku moja kichwa hakiwezi kuwa sawa na mkia.
mimi ndio natoka hvyo.
 
yani mngemsikia alivyokuwa ana hojiwa cloudz leo watangazaji wa kipindi cha jahazi wamemkejeli sana na swali la msingi nililo penda ni pale alipoulizwa sasa huyu mpenzi wangu uliyemuacha nyumbani ukirudi utamuambia nini hakika kachemka hata kuzungumza akashindwa nimemuonea huruma sana kachemkasana
 


hata bila kufanya mapenzi wala asingefika kokote mana
alikuwa anabore sana, kutwa amelala au anasoma kitabu na kusubiri Ernest wakiss na kumdanganya
aaghh kwa kweli nilifurah sana alipotolewa.
Hivi wadada wa tz wao ni mapenzi tuu
hawaoni lingine????
 
tena Lotus ndo mpuuzi kabisa alafu kajifunga hatamu puani kama farasi.
 

Wako talent-less wataonaje jipya, tena kama yule alojifunga hatamu puani kama punda ndio zero kabisa... yule inaonekana hata faraghani mtupu!!:glasses-nerdy:
 

Nani aliona live wanafanya mapenzi hadharani? Hivi ni nani hajui mapenzi yanafanywaje??... kupiga busu na pozi la mahaba ni kufanya mapenzi? Binafsi naona alikuwa sawa anaigiza movie..zile zote ni "NATO alliance" yaani "No Action Talking Only" ..

Ndugu zangu tuache kuwahukumu watu kwa mawazo yetu...Jihukumu kwanza wewe mwenyewe...

Binafsi tufurahishwi na Big Brother..lakini sitakubali kumuhukumu mtu kwa mawazo yangu...Ni yeye mwenyewe anajua kizuri na kibaya na pia kile alichofanya alifanya kwa mapenzi yake na sio kwa mapenzi yako wewe mtazamaji! Acheni fikra fupi!!!
 
Sidhani kama kuna haja ya kupeleka washiriki wa kike kule, manake hawana ubunifu wowote kwani wanachojua ni kusex, then unajua mwanamke aliyewahi kushinda ni mmoja na tena alijiheshim sana.

Sasa Bhoke kadanganywa na ernest tena wakafanya mapenzi kavukavu,lotus naye eti ana lipiza,sasa mi najiuliza'je mpz wa bhoke atamwangalia vip mamake,babake? Mpenz wake je?je ernest atakuwa nae tena?

Sawa pumzika mama! Manake wakati unafanya mapenz kavukavu then ukawa unaiskilizia ilikuwa inaniuma sana,je mpz wako alikuwaje hapo? Multichoice wasipeleke wanawake!
 
Wanawake mnabisha basi tu, ila kwa mfumo tulio nao mwanamke akifanya hivo sio na wala jamiii haitamwelewa na ataonekana mchafu(wanamwitaga Malaya), ila
Mwanaume akifanya kitu hicho hicho ataonekana mjanja wanamwitaga (Player)

So alichofanya Bhoke ilikuwa ni uchafu, Period!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…