mnh sema mfumo dume tu kufanya mapenzi mbona yule richard alifanya? na akashinda?
Tena alikuwa mume wa mtu na pete ya ndoa juu! Akimtamkia bidada 'I love u ' hiyo ni adultery!
Richard alifanya na akashinda ,je huyo mwanamke aliyefanya mapenzi na Richard alishinda? Tatizo hapa ni kufanya na kufanywa tu.mnh sema mfumo dume tu kufanya mapenzi mbona yule richard alifanya? na akashinda?
Cjajua walitumia vigezo gan kuwachagua wewe na lotus,ambapo lotus yeye alishaonesha utovu wa nidham mapema na kutolewa,then ukabaki wewe je? Ulidhan kweli unaweza shinda hayo mahela? Umefanya mapenz watu tumekuona je ndio tulichokutuma? Hiv ukifika bba lazma ufanye mapenz? So watanzania walichukia na wamekua dhibu!
hata bila kufanya mapenzi wala asingefika kokote mana
alikuwa anabore sana, kutwa amelala au anasoma kitabu na kusubiri Ernest wakiss na kumdanganya
aaghh kwa kweli nilifurah sana alipotolewa.
Hivi wadada wa tz wao ni mapenzi tuu
hawaoni lingine????
Cjajua walitumia vigezo gan kuwachagua wewe na lotus,ambapo lotus yeye alishaonesha utovu wa nidham mapema na kutolewa,then ukabaki wewe je? Ulidhan kweli unaweza shinda hayo mahela? Umefanya mapenz watu tumekuona je ndio tulichokutuma? Hiv ukifika bba lazma ufanye mapenz? So watanzania walichukia na wamekua dhibu!