hahaha mbona wivu,wakati Richard anakula mauroda madada wa watu mlikuwa mnamsifia sasa wa kwenu wanaliwa hahahahahaahahhh!
hahahahahhah kumbe watu mna wivueeeehe he hee inauma hiyo duh:mimba::A S 103:
hahahahahhah kumbe watu mna wivueeee
hahahhahha mnawaonea,au kwa kuwa wanawake mbona Richard mlikuwa mnashangilia na mapicha mnabandika humu au mmesahau,tuendelee kushangilia jamani..yaani huyo bhoke kanichefua sana...kashindiliwa kitu yaani kajisahau anasikilizia kabisa bana...tushapata mashemeji warudi tu home tukale mishikaki kwa mama sabina kule leaders huku tunalicheza twanga ...wameniudhi ka nini
jaman kwa nin wasipigiwe kura?mfumo dume utaish lin ktk jamii ya waafrka?dada yetu alfanya mwenyewe?mbona ernest halaumiwi?richard alikuwa anafanya nin na tatiana?tuache ujinga wa kuona mwanamke anachofanya n big isu,let us sapot them bse they not fake and that is da way they are.
jaman kwa nin wasipigiwe kura?mfumo dume utaish lin ktk jamii ya waafrka?dada yetu alfanya mwenyewe?mbona ernest halaumiwi?richard alikuwa anafanya nin na tatiana?tuache ujinga wa kuona mwanamke anachofanya n big isu,let us sapot them bse they not fake and that is da way they are.