Bhoke na Lotus waomba kura zako Mtanzania.

BBA ni uovu...hakuna mema watu wa kanisa wanaweza jifunza.....hakuna jema watanzania wanaweza jifunza.....tupange mabo ya maana ..na SI KUPIGA KURA ZAKUENDELEA KUONYESHWA DADA ZETU WAKIGAWA NGONO KAMA PIPI
 

kura yangu sitoi
tena wakome kusema eti wanatuwakilisha sisi mjengon, sisi co wachafu kiasi hicho.
 
Ohhhhh! Nimekumbuka, mi naona tuwape mana wanaona wakirudi huku kitaa, uchafu wao hautaonekana maana wanapenda kufanya mambo yao hadharani. So cant u see that they wont be free? Just vote 4 them bt mi najiondoa aisssse!
Sa hiv nikienda huko kusini itabidi nijifanye black American kwani nikisema mi Mtz watanishushia my value.
 
Mfumo Dume at work, angekuwa mkaka wa kitanzania anafanya hivi wengi wetu tungemsifia na kumuta kijogoo/rijali ila kwa kuwa ni mwanadada basi tunaanza kusema kalidharirisha taifa hizi double standards hizi zitaisha lini?
 
lol....@ pengine alikuwa na ukame sana huyo bhoke nasikia alikuwa mjamzito/mzazi.....
 
Sio siri hawa wanawake huwa wanatutia aibun kila wanapochaguliwa kushiriki BBA.Tuwatoe mapema jamani kabla hawajapigwa mimba maana itakuwa aibu kwetu sote.
Hawa multichoice tz wakome kutupelekea kina dada mle ndani kwani wameprove failure ktk strategies zao kila mara.Wamesaahau kuwa Mwisho aliponzwa na mapenzi?
Wakiwekwa kikaangoni tuhakikishe wanatoka kabisa.
 


Oooh Really?
 
Huyo Bokhe hawezi kupata kura yangu,mpaka aeleze kisa cha kulala kwenye jacuzzi na huyo kijana wa Kiganda live ni nini, au huo ndio utaratibu wa jumba????????? Jieleze Bhoke hapa kwenye jamvi, kuna kura nyingi hapa jitahidi!!!!!!!!
 
Jamani waacheni tu manake hata mkiwasema wawasikii...once water has split down you can't pick it up again bana.
Nyie mnafikiri kila mtanzania anachukizwa(mimi nachukizwa) na wanachokifanya huko?
subirini watakaporudi muone midume itakavyowapigia misele.
 
Kwa wanayoyafanya mimi mjengoni nasema mimi hawaniwakilishi japo kuwa ni Mtazania, sipigi kura ng'o. kwanza wanawaumiza mwapenzi wao hapa bongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…