Bht. Bht, Bht, Bh, Bh, B,B............But why?

Bht. Bht, Bht, Bh, Bh, B,B............But why?

Dark City

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2008
Posts
16,253
Reaction score
11,626
Nimefarijika sana kukuona tena kwenye jamvi......

Take us through then......a,b,c,d,e................


DC
Rt Maj. Gen (1947).
 
Dah...wapi ako.? have been excited gafla!
 
Dah...wapi ako.? have been excited gafla!

Weee acha tu....Huyu mdogo wetu sijui kwa nini aliamua kuingia mitini (kule Dom na Makutupora tuliita kwenye mitunduru)!!

Ni siku njema sana Bro...
 
Weee acha tu....Huyu mdogo wetu sijui kwa nini aliamua kuingia mitini (kule Dom na Makutupora tuliita kwenye mitunduru)!!

Ni siku njema sana Bro...

Rit. Gen. Ni kweli nimemiss sana kama umemwona gafla basi tufanye logistik

According to Asprin ni kwamba alikuwa maternity leave sijui itakuwa imeisha?
 
karibu Bht ...........Asa mbona hukumchukua na Da Sophy ukaja naye??
 
Rit. Gen. Ni kweli nimemiss sana kama umemwona gafla basi tufanye logistik

According to Asprin ni kwamba alikuwa maternity leave sijui itakuwa imeisha?

Naona kama kabeep na kutoweka hewani. Kama vile ameingia mitini. Itabidi sasa tutafute askari wa kimasai akamtafute.
 
Yuko wapi jamani my lovely Twinuska?
 
dc kaka mkubwa, glad to knw that... Well here I am.
Biggy iribini kazeeka bana, mo nilikonsive miezi 3 ilopita sa matenity mbona bado. Lol
@mj1 da sophy yy ndo kajifungua ako anakunywa mitori tu.
@b wa ukweli, ninako ka uncle ujue
 
dc kaka mkubwa, glad to knw that... Well here I am.
Biggy iribini kazeeka bana, mo nilikonsive miezi 3 ilopita sa matenity mbona bado. Lol
@mj1 da sophy yy ndo kajifungua ako anakunywa mitori tu.
@b wa ukweli, ninako ka uncle ujue


Now this is what am talking about......:A S-rose::A S-rose:welcome back
 
dc kaka mkubwa, glad to knw that... Well here I am.
Biggy iribini kazeeka bana, mo nilikonsive miezi 3 ilopita sa matenity mbona bado. Lol
@mj1 da sophy yy ndo kajifungua ako anakunywa mitori tu.
@b wa ukweli, ninako ka uncle ujue

Yaani wewe B...hata sijui nikupe pole, sijui niseme hongera...si unajua hiyo kitu ikiwa tumboni si ugonjwa ehhhh.

Anyway...karibu sana ingawa hamu ya ku-catch up haijaisha!
 
i am here candies, peachez n switiz...
 
Yuko wapi jamani my lovely Twinuska?

Hebu basi mdogo wangu sikia kilio chetu sisi wazee wako urudishe ile sura yako cuuute ya zamani..


Hii naona nikiiongelea nitapgwa ban .....pleaaase!!!
 
jamani watakani?nimekuwa bonge nilitumia mambo yetu yale ya chinchwaaaa
Hebu basi mdogo wangu sikia kilio chetu sisi wazee wako urudishe ile sura yako cuuute ya zamani..


Hii naona nikiingelea nitapgwa ban .....pleaaase!!!
 
Back
Top Bottom