Bia hupunguza nguvu za kiume (research facts)

Bia hupunguza nguvu za kiume (research facts)

Tuko

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2010
Posts
11,180
Reaction score
7,346
Sina lengo la kuwatisha wanywa bia, lakini naamini inabidi tuwe makini.

Bia hutengenezwa kwa nafaka ambazo 'kwa kawaida' hushambuliwa sana na fungus na kupelekea kuwa na fungal toxins (mycotoxins). Inajulikana kuwa sumu hizi huharibiwa na process ya fermentation, wakati wa kutengeneza bia. Hata hivyo tafiti nyingi zimeonyesha uwepo wa viwango vikubwa vya mycotoxins kwenye bia hasa kutokana na bia hizi kutokuandaliwa vizuri. Ambapo katika utafiti mmoja, bia za Pilsner na Tusker zilionekana kuwa na kiwango kikubwa cha sumu hizi (http://www.scientificsocieties.org/jib/papers/2004/G-2004-0812-235.pdf).

Pamoja na madhara tofauti ya mycotoxins ikiwemo kansa kuharibiwa mfumo wa fahamu, mycotoxin aina ya zearalenone ina athari za kioestrogenic, kwa kusababisha kuzalishwa kwa kiwango kikubwa cha hormone ya oestrogen mwilini. Hii ina madhara kwa jinsia zote, lakini kwa wanaume husababisha kujitokeza kwa tabia za kike (feminization), kama vile sauti kuwa nyororo na kuota matiti (sio lazima iwe kabisa kama mwanamke).

Feminization huambatana na kupungua kwa nguvu za kiume kwa kiasi kikubwa, ambapo mwanaume anakosa au inapungua hamu ya mapenzi kwa wanawake, u.ume kuwa mdogo, na kushindwa kuhimili u.ume kusimama kwa muda mrefu.

Kwa bahati mbaya, sumu hii pia imeonekana kuwepo katika bia nyingi kutokana na maandalizi mabovu na ya haraka ya bia, mfano katika utafiti huu (Estimation of the fungal toxins, zearalenone and aflatoxin, contaminating opaque maize beer in Zambia - Lovelace - 2006 - Journal of the Science of Food and Agriculture - Wiley Online Library).

Upo uwezekano mkubwa kuwa bia nyingi za Tanzania, hasa zile zinazonywewa sana zikawa na sumu hizi, kutokana na demand kuwa inayofanya viwanda wazalishe haraka haraka, bila kuzingatia viwango.

Usishangae kuwa tatizo la nguvu za 'wababa' linaloendelea kukua kila uchao katika jamii ya watu (hasa wa mijini), linatokana na mabia wanayobwia. Pia siku hizi kuna tabia ya wanaume kunenepanenepa kihasara hasara, kuwa na ngozi nyororo sana, na kuota vijimatiti. Tuwe makini jamini...
 
Ahsante kwa kutujuza mkuu itabidi turudi kwenye asili zetu,mbege,kimpumu,ulanzi na banana.
 
Hapo sasa. Bora mimi natumia high quality wine na sana sana once a month. Mtaweza kuacha kunywa na wengine hii kitu iko kwenye damu?????

Hii wakiona wenye viwanda lazima watapinga though mimi nimeamini kwani ume cite reliable sources.

Ndio maana magonjwa hayeshi. Nimesoma na kusikia kwenye vyombo vya habari vya nje kuwa simu za mkononi zina madhara similar na kuwa exposed na DDT. Zinaleta kansa ya uvimbe kichwani kutokana na ukweli kuwa mionzi inayotumika ni zaidi ya mionzi ya microwave. Na hiyo ni tafiti mbali mbali zillizokuwa funded na WHO sijuhi kama bongo wametoa hiyo taharifa. Huku nilipo newspaper nyingi zililipoti. Hence kwa wanaojali muwe mnatumia head phones au speakers kuepuka haya madhara. Na msiwazoeshe watoto wenu kutumia simu kwani wao fuvu lao ni laini zaidi. Si mnaona idadi ya tatizo la head tumor linavyoongezeka.
 
Hapo sasa. Bora mimi natumia high quality wine na sana sana once a month. Mtaweza kuacha kunywa na wengine hii kitu iko kwenye damu?????

Hii wakiona wenye viwanda lazima watapinga though mimi nimeamini kwani ume cite reliable sources.
Mie valeur tuuuu
 
Mie ninaipenda lakini imenishinda hapo tu kwenye domo na hio nyingine
<br />
<br />
kumbe hata lager zinanukisha mdomo! Mi nilikuwa najua kuhusu milk stouts
 
Bia zinazonyweka sana hapa Tz kwa sasa ni Tusker lager, castle na serengeti. Upo uwezekano wa bia hizi kuwa zinazalishwa haraka, na chini ya kiwango...
 
duh hii balaaa
Sina lengo la kuwatisha wanywa bia, lakini naamini inabidi tuwe makini.

Bia hutengenezwa kwa nafaka ambazo 'kwa kawaida' hushambuliwa sana na fungus na kupelekea kuwa na fungal toxins (mycotoxins). Inajulikana kuwa sumu hizi huharibiwa na process ya fermentation, wakati wa kutengeneza bia. Hata hivyo tafiti nyingi zimeonyesha uwepo wa viwango vikubwa vya mycotoxins kwenye bia hasa kutokana na bia hizi kutokuandaliwa vizuri. Ambapo katika utafiti mmoja, bia za Pilsner na Tusker zilionekana kuwa na kiwango kikubwa cha sumu hizi (http://www.scientificsocieties.org/jib/papers/2004/G-2004-0812-235.pdf).

Pamoja na madhara tofauti ya mycotoxins ikiwemo kansa kuharibiwa mfumo wa fahamu, mycotoxin aina ya zearalenone ina athari za kioestrogenic, kwa kusababisha kuzalishwa kwa kiwango kikubwa cha hormone ya oestrogen mwilini. Hii ina madhara kwa jinsia zote, lakini kwa wanaume husababisha kujitokeza kwa tabia za kike (feminization), kama vile sauti kuwa nyororo na kuota matiti (sio lazima iwe kabisa kama mwanamke).

Feminization huambatana na kupungua kwa nguvu za kiume kwa kiasi kikubwa, ambapo mwanaume anakosa au inapungua hamu ya mapenzi kwa wanawake, u.ume kuwa mdogo, na kushindwa kuhimili u.ume kusimama kwa muda mrefu.

Kwa bahati mbaya, sumu hii pia imeonekana kuwepo katika bia nyingi kutokana na maandalizi mabovu na ya haraka ya bia, mfano katika utafiti huu (Estimation of the fungal toxins, zearalenone and aflatoxin, contaminating opaque maize beer in Zambia - Lovelace - 2006 - Journal of the Science of Food and Agriculture - Wiley Online Library).

Upo uwezekano mkubwa kuwa bia nyingi za Tanzania, hasa zile zinazonywewa sana zikawa na sumu hizi, kutokana na demand kuwa inayofanya viwanda wazalishe haraka haraka, bila kuzingatia viwango.

Usishangae kuwa tatizo la nguvu za 'wababa' linaloendelea kukua kila uchao katika jamii ya watu (hasa wa mijini), linatokana na mabia wanayobwia. Pia siku hizi kuna tabia ya wanaume kunenepanenepa kihasara hasara, kuwa na ngozi nyororo sana, na kuota vijimatiti. Tuwe makini jamini...
 
Sina lengo la kuwatisha wanywa bia, lakini naamini inabidi tuwe makini.

Bia hutengenezwa kwa nafaka ambazo 'kwa kawaida' hushambuliwa sana na fungus na kupelekea kuwa na fungal toxins (mycotoxins). Inajulikana kuwa sumu hizi huharibiwa na process ya fermentation, wakati wa kutengeneza bia. Hata hivyo tafiti nyingi zimeonyesha uwepo wa viwango vikubwa vya mycotoxins kwenye bia hasa kutokana na bia hizi kutokuandaliwa vizuri. Ambapo katika utafiti mmoja, bia za Pilsner na Tusker zilionekana kuwa na kiwango kikubwa cha sumu hizi (http://www.scientificsocieties.org/jib/papers/2004/G-2004-0812-235.pdf).

Pamoja na madhara tofauti ya mycotoxins ikiwemo kansa kuharibiwa mfumo wa fahamu, mycotoxin aina ya zearalenone ina athari za kioestrogenic, kwa kusababisha kuzalishwa kwa kiwango kikubwa cha hormone ya oestrogen mwilini. Hii ina madhara kwa jinsia zote, lakini kwa wanaume husababisha kujitokeza kwa tabia za kike (feminization), kama vile sauti kuwa nyororo na kuota matiti (sio lazima iwe kabisa kama mwanamke).

Feminization huambatana na kupungua kwa nguvu za kiume kwa kiasi kikubwa, ambapo mwanaume anakosa au inapungua hamu ya mapenzi kwa wanawake, u.ume kuwa mdogo, na kushindwa kuhimili u.ume kusimama kwa muda mrefu.

Kwa bahati mbaya, sumu hii pia imeonekana kuwepo katika bia nyingi kutokana na maandalizi mabovu na ya haraka ya bia, mfano katika utafiti huu (Estimation of the fungal toxins, zearalenone and aflatoxin, contaminating opaque maize beer in Zambia - Lovelace - 2006 - Journal of the Science of Food and Agriculture - Wiley Online Library).

Upo uwezekano mkubwa kuwa bia nyingi za Tanzania, hasa zile zinazonywewa sana zikawa na sumu hizi, kutokana na demand kuwa inayofanya viwanda wazalishe haraka haraka, bila kuzingatia viwango.

Usishangae kuwa tatizo la nguvu za 'wababa' linaloendelea kukua kila uchao katika jamii ya watu (hasa wa mijini), linatokana na mabia wanayobwia. Pia siku hizi kuna tabia ya wanaume kunenepanenepa kihasara hasara, kuwa na ngozi nyororo sana, na kuota vijimatiti. Tuwe makini jamini...

tumegee na sisi tunaokunywa machozi ya simba
 
Back
Top Bottom