Bia hupunguza nguvu za kiume (research facts)

1. Kunywa ongeza nguvu yafaa angalia gongo inaua-k.o.n.y.a.g.i
2.sasa angalia F.ala anaagiza round ingine lakini angalia gharama ewe rafiki-s.a.f.a.r.i l.a.g.e.r
 
1. Kunywa ongeza nguvu yafaa angalia gongo inaua-k.o.n.y.a.g.i
2.sasa angalia F.ala anaagiza round ingine lakini angalia gharama ewe rafiki-s.a.f.a.r.i l.a.g.e.r

Tusker je?...lol
 
Ndio maana siku hizi wanawake wanalalamika sana!
Huo ndio ukweli kama unakunywa bia ujue kabisa huna nguvu za kiume
 
ni kweli mzee, nahisi hiyo kitu ninayo!!!!
 
Duh! mimi nikinywa hiyo ndo mwendo mdundo
itafika siku bila kunywa hiyo uume hausimami, kwahiyo kila utakapotaka kufanya lazima uitafute halafu itafika siku hata hiyo haitasaidia, utahamia kingine kikubwa mpaka utakapokuwa usingizimuda wote. nenda hivyo hivyo mkavumkavu utazoea tu
 
acheni ubishoo wandugu, kunywa rozella, ubuyu, na ukwaju juice nzuri sana. hizo laana za pombe balaa!
 
haya ndiyo mambo ya kujadili kabla ya kukimbilia sijuwi dawa fulani inafanya hivi au vile, kwanza tuelewe chanzo cha tatizo halafu dawa baadaye. Kimsingi siyo bia tu bali pombe zote ziwe za kiwandani au za kienyeji halafu soda zote na juisi karibu zote za viwandani, chumvi ya mezani au ya unga tuliyozoea kuitumia, chai ya rangi na kahawa, sigara na madawa yote ya kulevya na orodha inaendelea. Ni suala mtambuka. Kujaribu ni bure. maajabuyamaji2.artisteer.net
 
safi mkuu, maji tu yanatosha, maji ndo kila kitu. asilimia 85 ya ubongo ni maji na asilimia 94 ya damu ni maji. maajabuyamaji2.artisteer.net
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…