Mimi nilidhani cha ArushaView attachment 1716891
Beer ni kifungua kinywa bora, siri moja ya kifungua kinywa hiki ni kunywa beer moja tu. Wengi wanaharibu hapa kutaka ya pili na ya tatu. Ukishaongeza ya pili umevunja mwiko...
Beer nakunywa muda wowote mimiBasi hii huiwezi
Whaaaaaat?Ngoja nitajaribu tumoro madam
Mi mwenyewe napataga yangu kila siku karibu sanaView attachment 1716907