Bia ya kudangia huisha haraka

Bia ya kudangia huisha haraka

Hahahhahaha Tena bora unywee kubwa sio vile vidogo cha kukushaur uwe unadangia konyagi Kwa uchungu ule haiwez kuisha haraka
 
2daySky Social media - تطبيقات Android على Google Play
Habarini za leo wadau wa maendeleo ya Teknolojia , leo nimeleta jukwaani mfumo wa mawasiliano ( social media ) , iliyo tengenezwa na wazalendo wa kitanzania. ( 2daySky )

Mara kadhaa vijana wa kitanzania wamekuwa wakijituma kuondoa utegemezi wa teknolojia za hali ya juu kutoka mataifa ya nje.

Vijana wetu wametengeneza mtandao ambao hadi sasa una maelfu ya watanzania . Ki ukweli watu wamekuwa wazalendo halisi kwani ni mafuliko makubwa sana ya watanzania wamejiunga.

Mimi naona huu ni wakati sahihi kuwaunga mkono kwa hali na mali .
Tanzania ni yetu moja , tuonyeshe uzalendo kwa kujali vya nyumbani.

Kama uliwahi kuona mtandao huu wiki moja iliyopita . basi kuna mabadiliko makubwa kupindukia , yaliyofanyika
Huu Uzi sidhani kama unauhusiano na hiki lkn ungeweka link ingekuwa bora
 
2daySky Social media - تطبيقات Android على Google Play
Habarini za leo wadau wa maendeleo ya Teknolojia , leo nimeleta jukwaani mfumo wa mawasiliano ( social media ) , iliyo tengenezwa na wazalendo wa kitanzania. ( 2daySky )

Mara kadhaa vijana wa kitanzania wamekuwa wakijituma kuondoa utegemezi wa teknolojia za hali ya juu kutoka mataifa ya nje.

Vijana wetu wametengeneza mtandao ambao hadi sasa una maelfu ya watanzania . Ki ukweli watu wamekuwa wazalendo halisi kwani ni mafuliko makubwa sana ya watanzania wamejiunga.

Mimi naona huu ni wakati sahihi kuwaunga mkono kwa hali na mali .
Tanzania ni yetu moja , tuonyeshe uzalendo kwa kujali vya nyumbani.

Kama uliwahi kuona mtandao huu wiki moja iliyopita . basi kuna mabadiliko makubwa kupindukia , yaliyofanyika
Ungeanzisha thread yako dear, mana hapa pombe huku teknolojia tushike lipi
 
Hahahhahaha Tena bora unywee kubwa sio vile vidogo cha kukushaur uwe unadangia konyagi Kwa uchungu ule haiwez kuisha haraka
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Demiss nakugawa. Au adangie Bavaria beer yenye alcohol ile. Dadadeq ataona Masaa ndio hayaenda bia iko pale pale. Atamwaga mwenyeweeeeee
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Demiss nakugawa. Au adangie Bavaria beer yenye alcohol ile. Dadadeq ataona Masaa ndio hayaenda bia iko pale pale. Atamwaga mwenyeweeeeee
Na ukidangia konyagi watu watakuogopa jaman ukidangia savvana unaonekana tajir sjui udangie Kilimanjaro nayo ikiwa ya baridi inateremka fasta
 
Na ukidangia konyagi watu watakuogopa jaman ukidangia savvana unaonekana tajir sjui udangie Kilimanjaro nayo ikiwa ya baridi inateremka fasta
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dangia balimi basi
 
Habarini za leo wadau wa maendeleo ya Teknolojia , leo nimeleta jukwaani mfumo wa mawasiliano ( social media ) , iliyo tengenezwa na wazalendo wa kitanzania. ( 2daySky )

Mara kadhaa vijana wa kitanzania wamekuwa wakijituma kuondoa utegemezi wa teknolojia za hali ya juu kutoka mataifa ya nje.

Vijana wetu wametengeneza mtandao ambao hadi sasa una maelfu ya watanzania . Ki ukweli watu wamekuwa wazalendo halisi kwani ni mafuliko makubwa sana ya watanzania wamejiunga.

Mimi naona huu ni wakati sahihi kuwaunga mkono kwa hali na mali .
Tanzania ni yetu moja , tuonyeshe uzalendo kwa kujali vya nyumbani.

Kama uliwahi kuona mtandao huu wiki moja iliyopita . basi kuna mabadiliko makubwa kupindukia , yaliyofanyika. https://play.google.com/store/apps/details…
Hii si sawa..
 
Back
Top Bottom