spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Hawasemagi am tired wanasema am tayadAkisha lewa ananiambia bby am tired tuka pumzike .....we hujiongezi tu mjuba
[emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125]Hawasemagi am tired wanasema am tayad
Uje ujaribu kili hii mpya yenye sura ya despo...
Chochote nalewaFlying fish si ndio bia yako, toa maoni
Nitazifata huko wanakouza πUmeziona..labsa nashindwa ielezea..niliambiwa nzuri nikaijaribu...nzuri pia
Walevi utawajua tuChochote nalewa
Afu nalewa tena π€
kijana wa hovyoπ
ππSubiri walevi wenzako waje
Kazuri mnoo
Vitamu balaa afu havijazi hata tumbo..havina gesi..unaflow tu...dahIla Vi flying fish vitamu jamani...
Zile six packs hata mbili mtu unamaliza....then no hangover.
Kiu tayari[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Vitamu balaa afu havijazi hata tumbo..havina gesi..unaflow tu...dah
πππ heee hata flying fish haijazeekaKili mpya...! Inafanania na desperado chupa
Bomba sana....kama desperado vileπππ heee hata flying fish haijazeeka
Washatoa kitu mpya
Taste yake ikoje?
Hizo ni beer za wadada mwanaume anaekunywa flying fish ni wa kuanza kumtilia mashaka!!!!Nasikia bia za flying fish ni tamu na pia zinaongeza sana ashiki (nyege)
Kwa mlio jaribu ni kweli?
Kwenye mabano wala hujakosea kabisaNasikia bia za flying fish ni tamu na pia zinaongeza sana ashiki (nyege)
Kwa mlio jaribu ni kweli?