Bia za kupima za kwenye mitungi ziliishia wapi?

Bia za kupima za kwenye mitungi ziliishia wapi?

raslimali

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2014
Posts
1,958
Reaction score
1,744
Kuna wakati niliwahi kuona bia za kupima kwenye glasi zinazohifadhiwa kwenye mitungi (kegs). Hivi siku hizi hazipo tena? Glasi ilikuwa inauzwa sh 500. Ingesaidia watu waache kunywa mataputapu.

Kenya zipo sana watu waliokuwa wanauza pombe haramu waliacha wakawa wanauza Senetor kegs beer. Huku Arusha kuna kampuni ndogo inatengeneze draft /drought beer lakini bei yake kwa glasi mlalahoi hawezi kumudu.
 
Tuko uchumi wa kati bob,pombe za kupima kwa jero jero hazina wateja.

Nasema uongo ndg zanguuuuuuuuuuuu?
 
Kuna wakati niliwahi kuona bia za kupima kwenye glasi zinazohifadhiwa kwenye mitungi (kegs). Hivi siku hizi hazipo tena? Glasi ilikuwa inauzwa sh 500. Ingesaidia watu waache kunywa mataputapu.Kenya zipo sana watu waliokuwa wanauza pombe haramu waliacha wakawa wanauza Senetor kegs beer. Huku Arusha kuna kampuni ndogo inatengeneze draft /drought beer lakini bei yake kwa glasi mlalahoi hawezi kumudu.
Tunalichukua, tutajadili kwenye vikao vyetu kisha mtaona mabadiliko sokon
 
Mkuu, ninadhani kinachowafanya watu wanywe pombe mbaya ni "Alcohol Level" yaaani anataka akipiga tu gongo ya 1,000 awe amelewa. Sasa hizo beer za glass moja jero atakunywa ngapi ili alewe kwa gharama nafuu?
 
Wakuu habari za jumapili. Awali ya yote samahani kwa kutokuwa hewani kwa kitambo tangu nimeweka huu uzi. Nilikuwa na shughughi kijijini.Nashukuru sana wote walionijibu. Mkuu smart 911 huo utaratibu wa TBL kama mtu ana sherehe analetewa hizo kegs ni kwa mikoa yote au ni Dar tu?
 
Back
Top Bottom