Bia za Tsh 1000/1500 tujulishane wanapouza

Bia za Tsh 1000/1500 tujulishane wanapouza

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Hamna kitu inaumaa unarudu kwa Mangi unakutana najamaa wanahadithiana yaaanai leoo nimela.baa sitaa za bk miatan
Mwingine

Za buku Nimemimina kumi aisee mwenye ukweli hasa wale wa tbvu tujuzanee hizi bukubuku zinapatikana Wapi

Otherwise darajani leo kuna ufunguzi mbele ya Rainbow KIDOGO wa mbagala aiwahusuu Bia n 1000 sijajua kubwaaaaaaaaaaa

Leoooo hatakama sinywi laiti kwahizi buku wacha nikasukutue mdomo kidogoo
 
Mpwa mafuta yamepanda bei hivyo bia hazijashuka bei
 
Tayari ushalewa kaka! Rudi nyumbani..... mwandiko unaongea pombe!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom