Biashaara ya madini

Biashaara ya madini

Jeff

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2009
Posts
1,293
Reaction score
200
Wadau wa JF, natumaini mko vyema kiafya na mnaendelea kusukuma gurudumu la maisha. Naombeni msaada wa mawazo hasa katika biashara hii ya madini, niko mkoani morogoro na nina Tsh 3,000,000, nimefikiria biashara ya kufanya lakini sijapata maamuzi bado, mwanzoni nilifikiria biashara ya boda boda, lakini sasa nimejiwa na wazo la biashara ya madini japo kwa small sclae,
Je naweza kufanya hiyo biashara kwa kiasi hiko cha pesa? na je nini risk za biashara hii? na namna gani unaweza kupata mzigo na wapi hasa soko lipo? mimi najua soko ni kwa sonara tu, je kuna wateja wengine wa bidhaa hii zaid ya sonara?
msaada wenu wadau! vijana tunajitahidi kujikomboa na janga la ajira
 
Wadau wa JF, natumaini mko vyema kiafya na mnaendelea kusukuma gurudumu la maisha. Naombeni msaada wa mawazo hasa katika biashara hii ya madini, niko mkoani morogoro na nina Tsh 3,000,000, nimefikiria biashara ya kufanya lakini sijapata maamuzi bado, mwanzoni nilifikiria biashara ya boda boda, lakini sasa nimejiwa na wazo la biashara ya madini japo kwa small sclae,
Je naweza kufanya hiyo biashara kwa kiasi hiko cha pesa? na je nini risk za biashara hii? na namna gani unaweza kupata mzigo na wapi hasa soko lipo? mimi najua soko ni kwa sonara tu, je kuna wateja wengine wa bidhaa hii zaid ya sonara?
msaada wenu wadau! vijana tunajitahidi kujikomboa na janga la ajira

Mkuu umefikiria kufanya biashara ya madini yapi
 
Wadau wa JF, natumaini mko vyema kiafya na mnaendelea kusukuma gurudumu la maisha. Naombeni msaada wa mawazo hasa katika biashara hii ya madini, niko mkoani morogoro na nina Tsh 3,000,000, nimefikiria biashara ya kufanya lakini sijapata maamuzi bado, mwanzoni nilifikiria biashara ya boda boda, lakini sasa nimejiwa na wazo la biashara ya madini japo kwa small sclae,
Je naweza kufanya hiyo biashara kwa kiasi hiko cha pesa? na je nini risk za biashara hii? na namna gani unaweza kupata mzigo na wapi hasa soko lipo? mimi najua soko ni kwa sonara tu, je kuna wateja wengine wa bidhaa hii zaid ya sonara?
msaada wenu wadau! vijana tunajitahidi kujikomboa na janga la ajira

Hiyo biashara ina risk sana ka huifahamu, kuingizwa chaka kwe biashareia za gemstone ni faster sana.
Pia kwa sasa ounce ya dhahabu imeshuka kutoka $1700 mpaka $1360.
Kwa wachimbaji wadogo ndo usiseme, gm sasa hta 45000 unapata.
Vinginevyo nunua sasa uweke stock.
 
Hiyo biashara ina risk sana ka huifahamu, kuingizwa chaka kwe biashareia za gemstone ni faster sana.
Pia kwa sasa ounce ya dhahabu imeshuka kutoka $1700 mpaka $1360.
Kwa wachimbaji wadogo ndo usiseme, gm sasa hta 45000 unapata.
Vinginevyo nunua sasa uweke stock.

mkuu ndio hapo nilikuwa nataka kujua nitajuaje dhahabu original na fake?
 
Back
Top Bottom