kabisa
Wachungaji wa kiroho/mtakabifu
*StationEryBodaboda
Stationary
Hostel
Biashara zote za kutegemea wanafunzi either wa chuo, sekondari au msingi.
vibanda umiza Acha tu maumivu yake Mungu tu ndie ajuae.• Mahoteli
• Usafiri wa Anga
• Kumbi za mikutano
• Kumbu za Sherehe
• Utalii
•Stationary
• Shule za Private
• Biashara ya Catering
• Daladala
• Betting, Vibanda umiza
• Maduka yaliyo sehemu zenye misongamano mjini napo hali sio poa watu hawatembei sana mjini kwa sasa
Ongeza nyingine na tupeane updates za huko mlipo hali ikoje
Sent using Jamii Forums mobile app
vibanda umiza Acha tu maumivu yake Mungu tu ndie ajuae.
Dala Dala watoe,hao wakikosa hesabu ni uzembe wao na kutojiongeza.
tatizo lako Amu wewe wakishuaVibanda umiza ndo nini.
Mabanda ya kuangalia TV tena ... Si tunaangaliaga mechi za soka, ngumi ,mkandala lufufu ...tatizo lako Amu wewe wakishua
vibanda umiza ni mabanda ya kuangalia TV
Dada poa nadhan ndo wana hali ngumu kuliko, nani anataka kugusana kihasara siku hiziHivi dadapoa wanatumia sanitizer kuwapaka wateja wao mwili mzima kujikinga na mnyama Covide?
Wateja wao mnaweza kutoa ufafanuzi maana kuna ubishi mkubwa sana hapa kijiweni kwetu.