Ukiwa umeajiriwa na kampuni binafsi ikaja ikatokea mmiliki wa kampuni halipi mishahara inafika mahali hata ofisi halipii jengo ilipo, landlord anafunga ofisi na mamlaka za serikali nazo zinaongezea makufuri yake (Jiji) .
Kisanii mmiliki anafanikisha kuhamisha mali za kampuni ingali kwamba wafanyakazi hawajui muelekeo wao.
Ni ushauri gani au maamuzi yapi wafanye?