Nataka kuagiza mzigo wa sabuni,lotion kutoka china,naomba kujuzwa kuhusu utaratibu wa kupata import permits.Ina bidi niombe Tfda na tbs au taasisi moja tu kati ya hizi mbili?
Nime omba test certificates kutoka kampuni 2 za kichina lakini certificates za zime andikwa kwa kichina poja na mihuri yake,je tfda,tbs wata zitambua?
asanteni sana