afuate huu ushauriTafuta location nzur uuze mchele,maharage na mafuta yakupikia
Boda Ina kichefu chefu sehemu Moja/mbili - kupata dereva mwenye uaminifu/mwenye kurejesha pesa. Uki-win hapo tu utakua umetisha sana.Nunua bodaboda uwe unakula toto za udom na mipango
Hahaha imebidi nicheke... Ili asiwe na Upwii eehNunua bodaboda uwe unakula toto za udom na mipango
Safi hiiFungua Duka la mtaani uuze mahitaji ya nyumbani kama una nidhamu ya pesa unatoboa vizuri, tafuta fremu majengo, mlezi, area A, makole, meriwa, kisasa, n.k fanya kazi mkuu.
Wake za watu, mademu na watoto wa kike weka pembeni wewe fanya kazi.
Wakikuletea Busisi zao wagonge tu kwani kigongo si unacho?Wake za watu, mademu na watoto wa kike
Kuna mrombo mmoja anabiashara duka genge..anakomaa mwenyewe na kwa nyuma ameweka pombe watu wanaangalia mpira....na uhakika mauzo kwa siku ni m..ukimgongea hata saa 9 usiku unataka fegi..unapata.Fungua Duka la mtaani uuze mahitaji ya nyumbani kama una nidhamu ya pesa unatoboa vizuri, tafuta fremu majengo, mlezi, area A, makole, meriwa, kisasa, n.k fanya kazi mkuu.
Wake za watu, mademu na watoto wa kike weka pembeni wewe fanya kazi.
Nuksi mikosi na balaaa.Wakikuletea Busisi zao wagonge tu kwani kigongo si unacho?
Sasa mtu kajileta mwenyewe unamfanyaje? Nuksi mikosi balaa ndio mdudu gani huyo?Nuksi mikosi na balaaa.
..ni lango la ufukara