JOSEPHAT.P
Member
- Sep 14, 2013
- 70
- 18
Mjasiriamali mwenzangu,yakupasa kufanya biashara kwa manufaa ya leo na kesho! Anza kidogo upate uzoefu kisha ongeza wigo wa mtaji ili kuweza kutumia maliasiri zilizopo kwa ufasaha zaidi kwani utakuwa umeshatambua fursa na changamoto katika sekta yako! Pia kumbuka kuwa ili biashara iweze kuleta faida ni lazima ujue wateja wanataka nini, kwa kiasi gani, wapi na wakati gani.
Vijana tuamke na tuchangamkie fursa, mfano: ukiwa na kuku wa mayai 500 ambao unanunua kwa sh..2500,ukafuga nyumbani, unalisha kwa muda wa miezi 4, halafu mwezi wa tano unaanza kuuza mayai. Hii ni biashara nzuri sana pale itakapochukuliwa uzito!
Pamoja tunaweza na daima pambana kupunguza umaskini wako mwenyewe.
Vijana tuamke na tuchangamkie fursa, mfano: ukiwa na kuku wa mayai 500 ambao unanunua kwa sh..2500,ukafuga nyumbani, unalisha kwa muda wa miezi 4, halafu mwezi wa tano unaanza kuuza mayai. Hii ni biashara nzuri sana pale itakapochukuliwa uzito!
Pamoja tunaweza na daima pambana kupunguza umaskini wako mwenyewe.