Unamaanisha nini hapo
NAFIKIRI YA KUUZA MAJENEZA INABAMBA SANA AWAMU HII .Wa ndugu Twende kwenye mada, kipindi hiki cha awamu ya 5 ni biashara Ipi imechangamka,? Mtu unaweza unafanya bila Mawazo? π
Sio mbaya tukipeana ukweli wa jambo hili mtu ukajua PA kuanzia.
Maana kila Kona waambiwa biashara hamna na maduka yanafungwa,
Hii Hali itakuwaa hivi hadi lini?
Hayo ni Mawazo piaNAFIKIRI YA KUUZA MAJENEZA INABAMBA SANA AWAMU HII .
WAPO WANAOJIUA KWA UGUMU WA MAISHA, WAPO WANAOKUFA KWA UMASIKINI NA PRESHA.
Hivyo Anzisha biashara ya KUUZA MAJENEZA, Kulia misibani, Kuimba Kwaya misibani, Kupiga dhikri misibani, KUUZA misalaba.
AU ANZISHA UGANGA WAKIENYEJI WA KUWAPA WATU UTAJIRI.
Kwanza unge eleza wapi penye unataka kufanyia biashara, sio mbaya kama ukitaja walau kiwango cha mtaji ulio uandaa.....Wa ndugu Twende kwenye mada, kipindi hiki cha awamu ya 5 ni biashara Ipi imechangamka,? Mtu unaweza unafanya bila Mawazo? [emoji17]
Sio mbaya tukipeana ukweli wa jambo hili mtu ukajua PA kuanzia.
Maana kila Kona waambiwa biashara hamna na maduka yanafungwa,
Hii Hali itakuwaa hivi hadi lini?
sasa mkuu anataka viwanda si ndo hvyo vya kutengeneza barafuFaida yake itaweza endesha maisha ya familia? Kusomesha na kulipa bills?
Pale Mlimani City watu waliona kama pamejaaa hamna fursa tena,mchina kaja kaweka michezo ya watoto aiseee panajaza balaaaaaa na kila mchezo mmoja ambao mingi maximum ni dakika 7.kwa Kila .mchezo unalipia elfu tatu mingine elfu sita.Badala ya kujenga bar mengine sehemu za kucheza watotoWa ndugu Twende kwenye mada, kipindi hiki cha awamu ya 5 ni biashara Ipi imechangamka,? Mtu unaweza unafanya bila Mawazo? [emoji17]
Sio mbaya tukipeana ukweli wa jambo hili mtu ukajua PA kuanzia.
Maana kila Kona waambiwa biashara hamna na maduka yanafungwa,
Hii Hali itakuwaa hivi hadi lini?
Biashara ya kuhama upinzani na kurudisha kadi, hii unaweza kuifanya kila wilaya nchini na haina kodi.Wa ndugu Twende kwenye mada, kipindi hiki cha awamu ya 5 ni biashara Ipi imechangamka,? Mtu unaweza unafanya bila Mawazo? π
Sio mbaya tukipeana ukweli wa jambo hili mtu ukajua PA kuanzia.
Maana kila Kona waambiwa biashara hamna na maduka yanafungwa,
Hii Hali itakuwaa hivi hadi lini?