TEAM VIBAJAJI
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 1,858
- 2,298
Basi nirushie kwa wasap Kama unaogopa watu wa humu
Dah sijabahatika kuiona mm group langu la wasap ni la walokoleZipo kwenye magroup mengi ya whatsApp mkuu omba huko utaipata
Wewe umetoboa?[emoji23]anzisha biashara ya kuuza dawa za kuongeza nguvu za kiume na kamali,utatoboa
Wewe umetoboa?[emoji23]
Ndio nataka nikutoboe muda huu, kama ukiwa tayari nishtueMimi nimetoboa biriani nyingi tu,vp wewe umetobolewa [emoji2377]
Ndio nataka nikutoboe muda huu, kama ukiwa tayari nishtue
Mimi ndie mtoboa tobo,wejiachie vizuri tu hapo nile biriani lako
Ndio nataka nikutoboe muda huu, kama ukiwa tayari nishtue
Wewe umetoboa?[emoji23]
Mna umri gani nyie hapaZipo kwenye magroup mengi ya whatsApp mkuu omba huko utaipata
Mna umri gani nyie hapa
Wa ndugu Twende kwenye mada, kipindi hiki cha awamu ya 5 ni biashara Ipi imechangamka,? Mtu unaweza unafanya bila Mawazo? [emoji17]
Sio mbaya tukipeana ukweli wa jambo hili mtu ukajua PA kuanzia.
Maana kila Kona waambiwa biashara hamna na maduka yanafungwa,
Hii Hali itakuwaa hivi hadi lini?
Umri wa kati mkuuMna umri gani nyie hapa
Sawa mkuuAcheni utoto basi aisee
Kuku umeacha kufugaAcheni utoto basi aisee