Biashara gani inafaa kwa mtaji wa Tsh. 200000/=?

Joined
Jun 22, 2019
Posts
31
Reaction score
18
Wadau kwema samahanini, naombeni mnijuze hivi mtaji wa 200000/= kwa Dar es Salaam unaweza anzisha biashara gani?
 
Viatu vya kike.....viatu vya kachukue vya 3000 au 3500,mtaani unauza 5000, kwa laki mbili utapata pea ngapi?? 3500 pea 30,na 3000utapata pea 30,so kwa laki mbili utapata pea kama 60 tu.

Nazungumza kwa uzoefu sio kwenye makaratasi, kuna Uzi nimeweka hapa jukwaani utafute utakusaidia kuwa,cha umuhimu ni kujua viatu gani vinapendwa na viko sokoni kwa sasa.asante
 
Weka uzi hapa
 
YOoh #Wagwan

Kama heading isemavyo wakuu hv nikiwa na laki mbili naweza kufanya biashara gani ambayo itaniingizia pesa kwa jiji la dsm maana naona kwenye kazi za ufundi nawaingizia sana watu pesa halafu mwenyew sipati hela kabsa ko nataka nipate japo kibiashara cha kuniingia senti kadhaa wakati napambana na ufundi wakuu
 
Tafuta madogo wawili wakuuzie mayai ya kuchemsha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…