Labda sio benki,kuna watu wanaitwa shark loaner ......
Asanteni wandugu., ishu yenyewe ni hivi. Jamaa ndio kamaliza chuo this Month, so anampango wakati anahangaikia ajira nyumbani basi atafute kitu cha kufanya maana inafahamika kuwa Nchini kwetu kazi ni shughuli sana kuipata, hivo akaazima hela kwa rafiki ake kiasi cha Dola 15000. So yeye hana ujuzi na biashara yeyote, maana kitaaluma ni kwamba msela kamaliza Architecture.
Biashara nzuri ni kuwarudishia ela yote wenye mkopo na kurudi kwanza kutafuta b'ness ya kufanya,ndo akakope sasa. Mkuu bila uongo,bora ueleze openly maana hamna anayeweza kukushauri bila kujua unaweza nini. Mi kwa mil20 naweza kuingia dili za viwanja na nkawa tajiri,naweza kuimport gari tatu na nkala ova 6mil profit in 2months nk,ila kama hujui la kufanya ujui!
Biashara nzuri ni kuwarudishia ela yote wenye mkopo na kurudi kwanza kutafuta b'ness ya kufanya,ndo akakope sasa. Mkuu bila uongo,bora ueleze openly maana hamna anayeweza kukushauri bila kujua unaweza nini. Mi kwa mil20 naweza kuingia dili za viwanja na nkawa tajiri,naweza kuimport gari tatu na nkala ova 6mil profit in 2months nk,ila kama hujui la kufanya ujui!
Kwa mtaji wa Tsh.1,000,000/= (milioni moja tu) unaweza kuibuka bilionea kwa muda mfupi ili mradi una malengo thabiti ya muda mrefu na muda mfupi. Malengo haya yakiambatana na bidii, nina uhakika hata kama hiyo milioni moja utakuwa umekopa unaweza kuirudisha ndani ya mwezi moja na utabakia na faida ya milioni nyingine moja. Kwa maelezo zaidi na johnsonlugenge@yahoo.com nae atakupa njia ya kufanya.