Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BarakoaHabarini wakuu,
naombeni mnisaidie biashara gani naweza ifanya karibu na eneo la hospital ya rufaa, maana nina kakiwanja eneo hilo ila sijui nifanye biashara gan itakayo endana shunguli za hospital.
[emoji23][emoji23]aiseeKikundi cha kunogesha msiba, inategemea tu upo mkoa gani. Kuna watu wanajua kulia yaani wanaweza kulia mpaka ukafurahi.
Hahaha eti wanaweza kulia mpaka ukafurahi...we jamaaa bhanaKikundi cha kunogesha msiba, inategemea tu upo mkoa gani. Kuna watu wanajua kulia yaani wanaweza kulia mpaka ukafurahi.
Miamala, Chakula, Matunda, Duka la Dawa, Nguo za baridi ( mashuka ya kimasai )Habarini wakuu,
naombeni mnisaidie biashara gani naweza ifanya karibu na eneo la hospital ya rufaa, maana nina kakiwanja eneo hilo ila sijui nifanye biashara gan itakayo endana shunguli za hospital.
Wagonjwa watakuwa na muda wa kwenda kutoa copy kweli mkuu?Stationery
Aisee!Kikundi cha kunogesha msiba, inategemea tu upo mkoa gani. Kuna watu wanajua kulia yaani wanaweza kulia mpaka ukafurahi.
Kipaumbele cha ajira hii atoe kwa wanyakyusa bila kuchagua jinsia, hatojutaKikundi cha kunogesha msiba, inategemea tu upo mkoa gani. Kuna watu wanajua kulia yaani wanaweza kulia mpaka ukafurahi.