Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wadau,
Naombeni idea zenu kuhusu biashara gani naweza kufanya kati ya Zanzibar na Bara (ikiwezekana Dar).
Na pia kuhusiana na masuala ya kodi.
Mtaji ni kama 10m.
Shukran.
Mkuu TIQO kakueleza bidhaa ya kutoa bara kupeleka Zenj, na kutoka kule kuja huku unaweza kuleta 'mashoga', mayai viza, ubani makka, ubani mashtaka, marash muje, maji maiti, sanda, udi na karafuu.
Fungua duka buguruni mlete Shaweji au Shaame akuuzie.
TAHADHARI: Usithubutu kuleta bidhaa hizo Mara, tutakufanya kitu hujawahi ona.
kuna mdogo wangu alikuwa anapeleka mikate kwa jumla ananunua kwa bahresa alipata faida sana na alianza na mtaji mdogo tu,ila wakati ule hao wazanzibari walipochoma vibanda vya wabara walimchomea kila kitu,.fanyia uchunguzi hii inaweza kuwa nzuriWadau,
Naombeni idea zenu kuhusu biashara gani naweza kufanya kati ya Zanzibar na Bara (ikiwezekana Dar).
Na pia kuhusiana na masuala ya kodi.
Mtaji ni kama 10m.
Shukran.
Mkuu TIQO kakueleza bidhaa ya kutoa bara kupeleka Zenj, na kutoka kule kuja huku unaweza kuleta 'mashoga', mayai viza, ubani makka, ubani mashtaka, marash muje, maji maiti, sanda, udi na karafuu.
Fungua duka buguruni mlete Shaweji au Shaame akuuzie.
TAHADHARI: Usithubutu kuleta bidhaa hizo Mara, tutakufanya kitu hujawahi ona.
Umenena mkuu, nilikuwa namtaftia jibu huyu mpumb*v lakini naona ulivyomjibu inamtosha. Watu wengine naona wanapotea njia na kusahau hili ni jukwaa la BUSINESS AND ECONOMIC wanaanza kuandika upmbav mtupu wakati mtu anataka mawazo ya maana!!Be wise with SPEED. A fool at forty, is a fool INDEED!
kuna mdogo wangu alikuwa anapeleka mikate kwa jumla ananunua kwa bahresa alipata faida sana na alianza na mtaji mdogo tu,ila wakati ule hao wazanzibari walipochoma vibanda vya wabara walimchomea kila kitu,.fanyia uchunguzi hii inaweza kuwa nzuri