lazima ukae
JF-Expert Member
- May 15, 2013
- 791
- 414
Upo wapi!! Kama upo dsm kuna biashara ya maziwa toka mkuranga pwani au toka kibaha kwa wafugaji (pastoralist) inalipa watakuuzia lita 900/= 1000/= 1200/= kuna uwezekano wa kupata lita 100, 150 mpaka lita 200 hayajachakachuliwa toka kwa ng'ombe wa kienyeji ukifikisha dar es salaam unauza kwa jumla cafe au hotel au kwa mama ntilie na kusambaza mtaani kila siku pato lako kwa siku litakuwa 40,000/= hapo umetoa garama zote nauli na uchovu