Biashara gani unayoweza fanya yenye uwezo wa kuingiza milion 300 kwa mwaka kwa kutumia mtaji wa bilion 1?

Nimeipenda sanaaa hii hoja naunga mkono hoja
 
Je, ni biashara gani unayo weza fanya yenye uwezo wa kuingiza milion 300 kwa mwaka kwa kutumia mtaji wa bilion 1?

Ukinunua hisa za Crdb au NMB
Utapata zaidi ya milioni 150 gawio Kwa mwaka lakini faida yake ni kuwa hutahangaika kununua chochote kingine wala kuajiri yeyote Yule mwingine.....risks ni ndogo sana...
Unaweza hata kuamua kusafiri na kutembea duniani huku unasuburi hela zako ... mwisho WA mwaka ...
Kama hupendi kubahatisha hiyo inaweza faa sana
 
Good idea
 
Nunua roli za kokoto na mchanga kisha nunua crasha za kusaga kokoto na changarawe lugoba,
Tafuta yadi mbagala,tegeta nk uwe unamwaga mzigo au ingia ubia na makampuni ya kutengeneza zege uwauzie kokoto.
Au kampuni za ujenzi
 
Hao Nguruwe ni aina gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…