habari yako mdogo wangu kwanza wewe ushawahi fika mafia, kwa upande wangu mimi nishapuyanga visiwa vyote hapo kuanzua hapo kilindoni, hadi visiwa vya nje vya mafia kama chole, juani, na kibondo....mimi hapo nilikuwa nafanya biashara ya uvuvi...ila kwa wewe mafia kuna fursa kuu mbili.
(1) biashara ya mafuta Petrol na diesel...Mafia kuna sheli mbili tu bado haikiji watumiaji wa vyombo vya baharini na bodaboda na magari (2) fungua gesti ya kisasa ..Mafia inakuwa ki utaliiii watu na wageni wanakuja tembea huko..kwa hiyo gesti zinalipa (3) bidhaa kupeleka kama Ngano, unga wa Sembe mafuta ya kupikia n.k ila hiyo ina changamoto yake katika usafirishaji.sasa wewe ulikuwa na idea ipi hapo.