Biashara gani yafaa Geita Mjini kwa mtaji wa Tsh: Milioni 1.5?

Biashara gani yafaa Geita Mjini kwa mtaji wa Tsh: Milioni 1.5?

Nilikuwa napenda kuwaulizia biashara gani inalipa sana pale Geita Mjin kwa wenyeji wa maeneo hayo kwa mtaji wa 1.5M
Fursa ya biashara ipo....sory umewahi fanya biashara yeyote kabla
 
Njmejaribu kufanya kitimoto mwatulole njmeshindwa,anyway,biashara ya geita ninmwisho wa mwezi,wakipokea mshahara,just try your lucky over ther mkuu
 
nenda lwamgasa migodini peleka chemicals za kulipulia miamba,hutojutia kuijua jamii forums
Sawa bro ila sina uzoefu na ishu za madini, vp hzo chemicals zinapatikana vp na kwa mtaji wa kias gan unatosha
 
Peleka bange migodini ukishikwa mpigie simu mjombaaenu wa waiti hausi
 
Back
Top Bottom