Biashara ya betting kuhusu corona.Habari wadau,kama nilivyoeleza hapo juu!Biashara nyingi zimekuwa ngumu sana hasa kipindi hiki cha Corona.Tushauriane jamani biashara gani zitafaa kipindi hiki!
Sent using Jamii Forums mobile app
danlod? mwambie pia kuna kupotezaKwanini usidownload pesa Kwa kupitia forex
Ni maoni yangu tu lakini[emoji3]
😂 😂 😂 😂 😂 😂Uza bangi na gongo.
Watu tunajifukiza bangi, tunasukutua gongo a.k.a sanitizer
😂 😂 😂 😂 😂MAJENEZA
Sanitizer ya dumu![emoji123][emoji123][emoji123]View attachment 1434345View attachment 1434346View attachment 1434348View attachment 1434350
Ndugu zangu karibuni kwa order za jumla,PM ipo wazi
Sanitizer ya dumu![emoji123][emoji123][emoji123]
Umetengeneza mwenyewe boss?Ndio boss karibu
Umetengeneza mwenyewe boss?
Ubora wake uliupimaje?Ndio ni mimi mwenyewe boss[emoji1374]
Ubora wake uliupimaje?
Standard ya msd ndio tunayo itumia kama wewe ni mfamasia utanielewa [emoji1374]