Biashara Haramu ya Pembe za Ndovu na Faru: Wachina wanamaliza maliasili hii Afrika

Biashara Haramu ya Pembe za Ndovu na Faru: Wachina wanamaliza maliasili hii Afrika

gpluse

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2012
Posts
654
Reaction score
852
Niko naangalia Aljazeera kuna documentary wanaonesha kuhusu utafiti wao juu ya biashara haramu ya pembe za ndovu na faru. Wameanzia Afrika Kusini mpaka China na Vietnam ambako ndiko kuna masoko ya bidhaa husika. Ukweli inasikitisha sana jinsi maliasili ya Afrika inavyokwisha tkwa kasi huku nchi zetu zikikumbatia watu hawa na biashara yenyewe.

Documentary inaonesha jinsi Waziri wa Usalama nchini Afrika Kusini ambaye ana jukumu la kusimamia na kuendesha kampeni za usalama, akiwa mtu wa karibu sana kwa wachina wanaofanya biashara ya kununua na kuuza pembe hizi huko China. Pia wanaonesha jinsi vyombo vya usalama vinavyoweza kuhongwa na kushindwa kusimamia suala hili. Na wachina wanaohusika wanasema Afrika kila kitu ni pesa tu wakimaanisha wanafanikisha haya kupitia mfumo wa rushwa uliopo. Kibaya zaidi ni wachina hawa kukiri kuwa ziara za viongozi wao, mfano Rais wa China, nchini Afrika Kusini zinafanikisha kuuzwa kwa meno haya maana diplomats na members wa delegation wananunua kwa wingi na kusafirisha kwenda China (nahisi ni kwa sababu hawakaguliwi popote, na hata kama wanakaguliwa, mfumo wa rushwa uliopo siyo rahisi kukamatwa).

Huko China na Vietnam inaonesha mpaka maafisa wa serikali wanashiriki kwa karibu kufanikisha biashara hii haramu kupitia mtandao huu. Its really shocking, nadhani miaka michache tu imebaki tutakuwa hatuna tena wanyama hawa. Nimejiuliza, wakimaliza tembo na faru watahamia kwa wanyama gani? Sijaweza kupata jibu kichwani mwangu.

Unaweza kuona documentary nzima kupitia documentary hii
 
Ndio maana tunazaraulika hatujui kutunza chetu hatuna uzalendo wa kunufaika sote mtu yupo radhi ajinufaishe peke yake
huu ushamba wa akili utabaki vichwani sijui mpk lini
 
wataisha kweli afu pale serengeti tutaweka pikipiki zao fekon,toyo na haojue!tuwe tunaenda kuziangalia
 
Very interesting investigative report!They discovered a lot of illegal trade....THEY SIGN BUSINESS CONTRACT IN PUBLIC AND BUY HORNS IN PRIVATE....Inauma kwakweli!am sure what happened in South Africa kuhusika kwa Waziri mwenye Dhamana basi na kwetu yatakuwa sawa sawa!Now napata picha kwanini DCI alisimamishwa!OUR NATURAL WEALTH GONE EVERYDAY
 
Niko naangalia Aljazeera kuna documentary wanaonesha kuhusu utafiti wao juu ya biashara haramu ya pembe za ndovu na faru. Wameanzia Afrika Kusini mpaka China na Vietnam ambako ndiko kuna masoko ya bidhaa husika. Ukweli inasikitisha sana jinsi maliasili ya Afrika inavyokwisha tkwa kasi huku nchi zetu zikikumbatia watu hawa na biashara yenyewe.

Documentary inaonesha jinsi Waziri wa Usalama nchini Afrika Kusini ambaye ana jukumu la kusimamia na kuendesha kampeni za usalama, akiwa mtu wa karibu sana kwa wachina wanaofanya biashara ya kununua na kuuza pembe hizi huko China. Pia wanaonesha jinsi vyombo vya usalama vinavyoweza kuhongwa na kushindwa kusimamia suala hili. Na wachina wanaohusika wanasema Afrika kila kitu ni pesa tu wakimaanisha wanafanikisha haya kupitia mfumo wa rushwa uliopo. Kibaya zaidi ni wachina hawa kukiri kuwa ziara za viongozi wao, mfano Rais wa China, nchini Afrika Kusini zinafanikisha kuuzwa kwa meno haya maana diplomats na members wa delegation wananunua kwa wingi na kusafirisha kwenda China (nahisi ni kwa sababu hawakaguliwi popote, na hata kama wanakaguliwa, mfumo wa rushwa uliopo siyo rahisi kukamatwa).

Huko China na Vietnam inaonesha mpaka maafisa wa serikali wanashiriki kwa karibu kufanikisha biashara hii haramu kupitia mtandao huu. Its really shocking, nadhani miaka michache tu imebaki tutakuwa hatuna tena wanyama hawa. Nimejiuliza, wakimaliza tembo na faru watahamia kwa wanyama gani? Sijaweza kupata jibu kichwani mwangu.

Unaweza kuona documentary nzima kupitia documentary hii

Congratulations comrade kwa kushare nasie ambao hatuona hii makala!sasa umeniwezesha kujua vingi kuhusiana na biashara hii!nimejua kabisa wageni ndio wahusika wakubwa CHINA waliojaa nchini wengi wanatu deceive kwa kufanya biashara halali kumbe nyuma yake kuna mambo illegal!Mpaka Tanzania(Mwenge) yetu kutajwa kweli sio mchezo Aljazeera walijipanga
 
Kwani katibu mkuu wa kile chama cha "kuipenda wenyewe na kuisoma namba" ni mchina??
 
Mimi nauliza tu, hivi haiwezekani kukata hayo mapembe bila kuwaua ili waendelee kuwepo na kuzaliana, na hatimaye kuendelea kuvuna pembe zaidi?????
 
Uwindaji haramu ungemalizwa na Oparesheni TOKOMEZA. Lkn wanasiasa waliingilia kati kwa sababu kikosi kazi kilikuwa hakipokei rushwa hivyo wakamuona Mhe. Kagasheki kama msaliti wakampiga chini. Watanzania wenzangu amin nawaambia Majangili namba moja kwenye Nchi yetu ni Wenzetu wenye asili ya Asia. Nenda Morogoro, Iringa, Sumbawanga, Mpanda, Kigoma nk. Biashara zao ni kuwinda Wanyama hai na kwenda kuwauza Nairobi. Lkn pia Wenzetu mabuchani hawaendi wamejaza nyama pori kwenye mafriza yao. Tumebaki kuwa vibaraka wao.
 
Hawa wachina tusiwalaumu, tujilaumu sisi tunaoshirikiana nao, nenda Zambia uone wanavyoimaliza miti yao , aina ya rosewood, nakuipeleka kwao China, magogo imekuwa ndio biashara kubwa ya watu wakishirikia na viongozi .
 
Uwindaji haramu ungemalizwa na Oparesheni TOKOMEZA. Lkn wanasiasa waliingilia kati kwa sababu kikosi kazi kilikuwa hakipokei rushwa hivyo wakamuona Mhe. Kagasheki kama msaliti wakampiga chini. Watanzania wenzangu amin nawaambia Majangili namba moja kwenye Nchi yetu ni Wenzetu wenye asili ya Asia. Nenda Morogoro, Iringa, Sumbawanga, Mpanda, Kigoma nk. Biashara zao ni kuwinda Wanyama hai na kwenda kuwauza Nairobi. Lkn pia Wenzetu mabuchani hawaendi wamejaza nyama pori kwenye mafriza yao. Tumebaki kuwa vibaraka wao.
Wanapata vibali au illegally?? Vibali wanapata ndio maana wanawinda hata Ww nenda utaruhusiwa kuwinda swala,digidigi tena kipindi ambacho wapo wengi tu,kuna majira na majira


Kuhusu ujangili ni officials wanahusika ,si vinginevyo ..
 
Ndio maana tunazaraulika hatujui kutunza chetu hatuna uzalendo wa kunufaika sote mtu yupo radhi ajinufaishe peke yake
huu ushamba wa akili utabaki vichwani sijui mpk lini
Niko naangalia Aljazeera kuna documentary wanaonesha kuhusu utafiti wao juu ya biashara haramu ya pembe za ndovu na faru. Wameanzia Afrika Kusini mpaka China na Vietnam ambako ndiko kuna masoko ya bidhaa husika. Ukweli inasikitisha sana jinsi maliasili ya Afrika inavyokwisha tkwa kasi huku nchi zetu zikikumbatia watu hawa na biashara yenyewe.

Documentary inaonesha jinsi Waziri wa Usalama nchini Afrika Kusini ambaye ana jukumu la kusimamia na kuendesha kampeni za usalama, akiwa mtu wa karibu sana kwa wachina wanaofanya biashara ya kununua na kuuza pembe hizi huko China. Pia wanaonesha jinsi vyombo vya usalama vinavyoweza kuhongwa na kushindwa kusimamia suala hili. Na wachina wanaohusika wanasema Afrika kila kitu ni pesa tu wakimaanisha wanafanikisha haya kupitia mfumo wa rushwa uliopo. Kibaya zaidi ni wachina hawa kukiri kuwa ziara za viongozi wao, mfano Rais wa China, nchini Afrika Kusini zinafanikisha kuuzwa kwa meno haya maana diplomats na members wa delegation wananunua kwa wingi na kusafirisha kwenda China (nahisi ni kwa sababu hawakaguliwi popote, na hata kama wanakaguliwa, mfumo wa rushwa uliopo siyo rahisi kukamatwa).

Huko China na Vietnam inaonesha mpaka maafisa wa serikali wanashiriki kwa karibu kufanikisha biashara hii haramu kupitia mtandao huu. Its really shocking, nadhani miaka michache tu imebaki tutakuwa hatuna tena wanyama hawa. Nimejiuliza, wakimaliza tembo na faru watahamia kwa wanyama gani? Sijaweza kupata jibu kichwani mwangu.

Unaweza kuona documentary nzima kupitia documentary hii

Niko naangalia Aljazeera kuna documentary wanaonesha kuhusu utafiti wao juu ya biashara haramu ya pembe za ndovu na faru. Wameanzia Afrika Kusini mpaka China na Vietnam ambako ndiko kuna masoko ya bidhaa husika. Ukweli inasikitisha sana jinsi maliasili ya Afrika inavyokwisha tkwa kasi huku nchi zetu zikikumbatia watu hawa na biashara yenyewe.

Documentary inaonesha jinsi Waziri wa Usalama nchini Afrika Kusini ambaye ana jukumu la kusimamia na kuendesha kampeni za usalama, akiwa mtu wa karibu sana kwa wachina wanaofanya biashara ya kununua na kuuza pembe hizi huko China. Pia wanaonesha jinsi vyombo vya usalama vinavyoweza kuhongwa na kushindwa kusimamia suala hili. Na wachina wanaohusika wanasema Afrika kila kitu ni pesa tu wakimaanisha wanafanikisha haya kupitia mfumo wa rushwa uliopo. Kibaya zaidi ni wachina hawa kukiri kuwa ziara za viongozi wao, mfano Rais wa China, nchini Afrika Kusini zinafanikisha kuuzwa kwa meno haya maana diplomats na members wa delegation wananunua kwa wingi na kusafirisha kwenda China (nahisi ni kwa sababu hawakaguliwi popote, na hata kama wanakaguliwa, mfumo wa rushwa uliopo siyo rahisi kukamatwa).

Huko China na Vietnam inaonesha mpaka maafisa wa serikali wanashiriki kwa karibu kufanikisha biashara hii haramu kupitia mtandao huu. Its really shocking, nadhani miaka michache tu imebaki tutakuwa hatuna tena wanyama hawa. Nimejiuliza, wakimaliza tembo na faru watahamia kwa wanyama gani? Sijaweza kupata jibu kichwani mwangu.

Unaweza kuona documentary nzima kupitia documentary hii

Hapa inabidi na sisi tuweke sheria ya kuua kama wao Kyle China ukikutwa na kosa LA unga wakikosa mnyongaji wanipe kazi hiyo nahitaji SMG tu
 
Ndio maana tunazaraulika hatujui kutunza chetu hatuna uzalendo wa kunufaika sote mtu yupo radhi ajinufaishe peke yake
huu ushamba wa akili utabaki vichwani sijui mpk lini
Ujumbe huu umfikie malaika mkuu na mitume wake.
 
Suala la kuuwa hawa wanyama halitakoma mpaka waishe, hii hali inaonekana ni NATURE inafanya kazi yake. Haiwezekani kelele zote zinazopigwa na mbinu zinazotumika kote duniani lakini bado wanauawa tu.

Hii Inaonyesha wakati wa Faru na Tembo kuendelea kuwepo kwenye uso wa duniani umekwisha. Watatoweka kama Dinosaurs.
 
Back
Top Bottom