Habari za ninyi wanaJF,
Nimekaa nikawaza kutokana na ukweli kuwa watanzania wanapenda sana utamaduni wao mnahisi itapokelewaje biashara hii ya kuandaa kadi zilizo katika lugha ya kiswahili?! Yaani muundo ule ule lakini maneno ndo ya kiswahili chetu?! Mnadhani itafaa?!
Nahitaji maoni yenu hapo tafadhali.