Biashara Hii Ni Shavu!!

Majigo

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
5,519
Reaction score
1,828
Ni ile ya kuexport mbwa... nimefanya utafiti mitaa mingi huko chaina wanagombewa kama daladala za mbagara!
 
Mkuu .... hebu funguka una export nyama ya mbwa au mbwa mwenye uhai

je utafiti wako unaonyesha kilo moja ni bei gani?
 
Ni ile ya kuexport mbwa... nimefanya utafiti mitaa mingi huko chaina wanagombewa kama daladala za mbagara!
kweli tumeona utafiti wako kwa jins ulivyokuja na kuonyesha michanganuo na utafiti wako. mia
 
Ni ile ya kuexport mbwa... nimefanya utafiti mitaa mingi huko chaina wanagombewa kama daladala za mbagara!
Majigo, Heshima kwako Mkuu, utafiti wako waweza kuwa sawa lakini wadau ni kama vile hawaamini-amini, hebu mwaga data zaidi.......Anyway, binafsi bado nakumbuka ulivyotufunga "tela" kwenye hadithi yako ya, "Nitakufa mara ya pili"....
 
Majigo, Heshima kwako Mkuu, utafiti wako waweza kuwa sawa lakini wadau ni kama vile hawaamini-amini, hebu mwaga data zaidi.......Anyway, binafsi bado nakumbuka ulivyotufunga "tela" kwenye hadithi yako ya, "Nitakufa mara ya pili"....
MKuu ni kweli hawaamin nasema kuwa ni shavu kwa sababu huku Tz Manapatikana kiurahic wakati mitaa ya huko CHANGCHUTANG, KHUANJDE, , ZHANJIANGH, CHUILIN ,DOUYICHU, YICHIAULONG, LYCHEE n.k mbwa mmoja ni sawa na bei ya mbuzi aliyenona huku Dar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…