kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,722
- 1,965
Mkuu hapana nilikua nafaham lakini kutokana na mrundikao wa majukumu naona biashara isije kufaBiashara inahitaji muda kupata mafanikio,inaonekana ulikuwa na matarajio makubwa ulipoanza biashara.
si kwa awamu hii mzee mwenzangu, awamu zilizopita ukijitolea popote wanakufikiria.Kesho naenda kwa afisa elimu akanipe japo shule nikanivolontie biashara Iko ila nahitaji niongeze uwanja wa pesa.
NINA DEGREE YA EDUCATION NATAKA NIKAOMBE KAZI SERIKALINI
Tatizo kumpata mfanya kazi hapa asije ua biashara yangu tu
Nasikia ukisema unajitolea unapewa kapesa la soda mwisho wa mwezi wenye uzoefu wa hizi techniques hivi ni kweli?
Please kabla sijarudisha mpira kwa kipa
Hahahaha umeona, kilasehemu degree yake.Yaani huyu dogo kila Uzi wake lazma ataje degree yake ya education,
Yaani mm hata ningekuwa nauza pipi siwez acha then nkaajiriwe kuwa mwalimu
@october man ulipotelea wapi sijakuona kitamboHahahaha umeona, kilasehemu degree yake.
Jamaa mm namuonea huruma sana degree yenyewe anayojikweza nayo eti ni ya ualimu ambayo akiajiriwa anapata mshahara 450000 tu.@october man ulipotelea wapi sijakuona kitambo
Mshauri Mdogo wako hapa kuwa degree sio kitu cha kujikweza aitumie kupata hela au umuulize kakaake CCNP Engineer
Yaan kweli ni changamoto ya elimu yetu MTU anaona kuajiriwa ualimu ni kama uwaziri hiviJamaa mm namuonea huruma sana degree yenyewe anayojikweza nayo eti ni ya ualimu ambayo akiajiriwa anapata mshahara 450000 tu.
Wakati Kuna watu degree zao zinawapa mishahara ya several millions na hawajikwezi.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Yaan kweli ni changamoto ya elimu yetu MTU anaona kuajiriwa ualimu ni kama uwaziri hivi
Nipo mkuu, naendelea kupata hekima za ma-great thinkers.@october man ulipotelea wapi sijakuona kitambo
Mshauri Mdogo wako hapa kuwa degree sio kitu cha kujikweza aitumie kupata hela au umuulize kakaake CCNP Engineer
Sawa mkuu nimekupataKomaa na biashara mkuu #kuajiriwa ni utumwa alafu kuajiriwa ni woga na woga ni Rafik wa kushindwa #maisha ya walimu yana tia huruma Sana #komaa na biashara usiweke mtu utakuja juta #
Salon mkuu Sasa lengo niongeze uwanja wa pesaKwanza biashara gani au ndio Kuban CD.
Huna sifa ya kuajiriwa mkuu kaa pembeniYaani huyu dogo kila Uzi wake lazma ataje degree yake ya education,
Yaani mm hata ningekuwa nauza pipi siwez acha then nkaajiriwe kuwa mwalimu
Wapi nimejikweza? Acha uzushi basJamaa mm namuonea huruma sana degree yenyewe anayojikweza nayo eti ni ya ualimu ambayo akiajiriwa anapata mshahara 450000 tu.
Wakati Kuna watu degree zao zinawapa mishahara ya several millions na hawajikwezi.
Hiyo degree nshakuanayo kabla wewe hujaanza shule nakushauri jiongeze acha hizo akili za zamanHuna sifa ya kuajiriwa mkuu kaa pembeni
Kwa hiyo ukienda kuvolunteer utaweza kukidhi hayo majukumu?Mkuu hapana nilikua nafaham lakini kutokana na mrundikao wa majukumu naona biashara isije kufa
Huko huko uliko haijalishi ni wapi, panga chumba anzisha darasa lako,Kesho naenda kwa afisa elimu akanipe japo shule nikanivolontie biashara Iko ila nahitaji niongeze uwanja wa pesa.
NINA DEGREE YA EDUCATION NATAKA NIKAOMBE KAZI SERIKALINI. Tatizo ni kumpata mfanyakazi hapa asije ua biashara yangu tu.
Nasikia ukisema unajitolea unapewa kapesa la soda mwisho wa mwezi wenye uzoefu wa hizi techniques hivi ni kweli?
Please kabla sijarudisha mpira kwa kipa