sumu-ya-panya
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 632
- 572
moja kwa moja kwenye point........... 1 BIASHARA YA DAWA YA NGUVU ZA KIUME hii biashara utaiuza sehemu yoyote ile haiitaji ufanye uatafiti au ukanunue dawa .we nenda porini angali majani mbuzi anakula majani uwo mti sio sumu kata vipande au sagasaga waambie wachemshe wanywe wasifanye ngono wakati wanakunywa dawa pia waambie wawe wanapendelea kutembea na kufanya mazoez na apate muda wa kupumzika azipende kutembea juani..ili dawa itembee mwilini baada ya siku nne mwambie afanye ngono atakuletea mrejesho dawa iko poa lakin siri we jua dawa yako ni feki piga pesa kama kawa haina mtaji haina ofisi