Benews
Member
- Jul 29, 2020
- 18
- 13
Habari Wadau! Sikuwahi kuwaza Kama ningekuja kuwa mfanyabiashara siku moja. Lakini hakuna ajuaye kesho. Ok nilihitimu Udsm 2019 tangu hapo sijawahi kupata kazi yeyote yakulipwa kutokana na elimu nilitosoma.
Kwetu ni Moshi hivyo nikawa nashinda tu home sina hili wala lile umri unaenda na Wala siingizi chochote 😪 siku moja nikaona post humu jf Kuna dada alikuwa anauza belo mitumba anaitwa Jacky nikamcheki nikamwomba anielekeze ABC za hiyo biashara akauliza sehemu nayopenda kuanzisha nikamjibu Moshi, hapo hapo akanishauri kuchukua Mabello yanguo za baridi za watoto na mengine yanguo za joto.
Aliniuzia Tsh. 400,000 na kunitumia Hadi Moshi ambapo moja kulikuwa na Pc 398 nikatafuta sehemu Soko lamemoria nikapata, nashukuru baada ya kuuza mzigo nilipata Return ya 720,000 na bado nilibaki na mabaki ya Buku Buku kibao.
Kutoka hapo ndio ikawa biashara yangu mzigo ukiisha namcheki ananitumia chapu. Kwasasa biashara imekua kua angalau namimi naweza kujiingizia kipato.
Unaweza kumcheki kwa no 0692436124 akakushauri au ukachukua mzigo, ila sio lazima tufanye biashara ya aina moja mdau ila biashara inalipa kuliko kukaa bure.
Kwetu ni Moshi hivyo nikawa nashinda tu home sina hili wala lile umri unaenda na Wala siingizi chochote 😪 siku moja nikaona post humu jf Kuna dada alikuwa anauza belo mitumba anaitwa Jacky nikamcheki nikamwomba anielekeze ABC za hiyo biashara akauliza sehemu nayopenda kuanzisha nikamjibu Moshi, hapo hapo akanishauri kuchukua Mabello yanguo za baridi za watoto na mengine yanguo za joto.
Aliniuzia Tsh. 400,000 na kunitumia Hadi Moshi ambapo moja kulikuwa na Pc 398 nikatafuta sehemu Soko lamemoria nikapata, nashukuru baada ya kuuza mzigo nilipata Return ya 720,000 na bado nilibaki na mabaki ya Buku Buku kibao.
Kutoka hapo ndio ikawa biashara yangu mzigo ukiisha namcheki ananitumia chapu. Kwasasa biashara imekua kua angalau namimi naweza kujiingizia kipato.
Unaweza kumcheki kwa no 0692436124 akakushauri au ukachukua mzigo, ila sio lazima tufanye biashara ya aina moja mdau ila biashara inalipa kuliko kukaa bure.