BradFord93
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 917
- 2,217
Kuna fremu ya familia ilianzshwa biashara
Ila biashara ikawa inafilisika kila xku...na sababu kuu ni;
1.Muingiliano wa usimamiz(kila mwanafamilia alkuwa ni muhusika)
2.matumizi ya hela(kila kitu walitegemea dukan)
3.Mikopo ilizidi
Biashara ikafungwa nami ndo nkaamua kuifungua rasmi kwa hela na nguvu zangu na nilianza kwa hela ndogo sana kiukweli...hata laki haifiki
Nashukuru sasa hivi vitu angalau vmejaa...kila kitu kipo....vocha zipo...sigara zpo..nimeongeza na huduma ya kusajili laini pia....hii ni kujiwekea mshahara wa mwsho wa mwezi pia
Just nnachoomba ni ushauri...kipi nfanye biashara iendelee kukua....na vitu gan vyenye faida vya kuongeza....!!nataka kuweka na bia pia
Ila biashara ikawa inafilisika kila xku...na sababu kuu ni;
1.Muingiliano wa usimamiz(kila mwanafamilia alkuwa ni muhusika)
2.matumizi ya hela(kila kitu walitegemea dukan)
3.Mikopo ilizidi
Biashara ikafungwa nami ndo nkaamua kuifungua rasmi kwa hela na nguvu zangu na nilianza kwa hela ndogo sana kiukweli...hata laki haifiki
Nashukuru sasa hivi vitu angalau vmejaa...kila kitu kipo....vocha zipo...sigara zpo..nimeongeza na huduma ya kusajili laini pia....hii ni kujiwekea mshahara wa mwsho wa mwezi pia
Just nnachoomba ni ushauri...kipi nfanye biashara iendelee kukua....na vitu gan vyenye faida vya kuongeza....!!nataka kuweka na bia pia