Mangole Valles Michael
JF-Expert Member
- May 30, 2021
- 338
- 683
Wakuu heri?
Kila Kona ya tanzania ni vilio watu wanalia hali ngumu, lakini katika wakati huu kuna wachache ambao kwao wanapiga mpunga kuliko kipindi chochote kile.
Miongoni mwanufaika wakubwa wa kipindi hiki ni wafanya biashara wakubwa.
Je ni aina gani ya biashara mtu akiifanya anaweza ku survive kwenye kipindi hiki inayo endana na mazingira harisi ya kitanzania?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila Kona ya tanzania ni vilio watu wanalia hali ngumu, lakini katika wakati huu kuna wachache ambao kwao wanapiga mpunga kuliko kipindi chochote kile.
Miongoni mwanufaika wakubwa wa kipindi hiki ni wafanya biashara wakubwa.
Je ni aina gani ya biashara mtu akiifanya anaweza ku survive kwenye kipindi hiki inayo endana na mazingira harisi ya kitanzania?
Sent using Jamii Forums mobile app