Prisoner of hope
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 2,440
- 2,572
Exactly, nami nimenote hilo....naona kachukua vifaa vya kutolea service, then kaviregard as goods.mtoa mada kashindwa kutofautisha goods na service business...
In short hiyo ndiyo huitwa goods and services.Kwa nilivyoona uzi wako, iyo biashara isiyoisha ni huduma kama huduma zingine. na sababu eti huduma haina kipato si kweli ila tu ni kuwa aihamishiki "non transferrable" na unayoita biashara ya kuisha ni kuuza bidhaa ( tangible products) ambayo hata matofali yapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo hivyo ila jamaa anakaza ubongo, anataka azunguukeIn short hiyo ndiyo huitwa goods and services.
Jamaa amechanganya mafaili japo ana wazo zuri. Katika biashara zipo za aina mbili! Kuna uzalishaji bidhaa na utoaji huduma.