Biashara ipi ya mtaji wa milioni moja ina faida kubwa?

Biashara ipi ya mtaji wa milioni moja ina faida kubwa?

Nikiwa na one million naweza fanya biashara gani na ikanipa faida nzur msaada apo
Fanya biashara ya kukopesha pesa (vikoba). Kopesha elfu 50 tu kwa kila mfanyabiashara mdogo mdogo na riba ni 10,000 kwa 15,000 kwa wasumbufu, na wale wasio sumbua ni 10,000 kwa 13,000.

Mwanzo ni mgumu sana maana itakuchukua muda ili kijulikana na watu ila wateja wakishajua ww ni mkopeshaji, ww ni kupiga pesa tu.

Ila kabla ya yote nenda TRA kwanza kaulize kinahitaji nn na nn ili ufanye biashara hyo.

Pia unatakiwa uwe na mbinu ili uweze kudai pesa yako na sio kutumia maguvu kama unanyanyua vyuma, hivyo inatakiwa uandike mkataba mzuri ili uweze kumpana mkopaji.
 
Fanya biashara ya kukopesha pesa (vikoba). Kopesha elfu 50 tu kwa kila mfanyabiashara mdogo mdogo na riba ni 10,000 kwa 15,000 kwa wasumbufu, na wale wasio sumbua ni 10,000 kwa 13,000.

Mwanzo ni mgumu sana maana itakuchukua muda ili kijulikana na watu ila wateja wakishajua ww ni mkopeshaji, ww ni kupiga pesa tu.

Ila kabla ya yote nenda TRA kwanza kaulize kinahitaji nn na nn ili ufanye biashara hyo.

Pia unatakiwa uwe na mbinu ili uweze kudai pesa yako na sio kutumia maguvu kama unanyanyua vyuma, hivyo inatakiwa uandike mkataba mzuri ili uweze kumpana mkopaji.
Sawa ngoja nifanyie kaz
 
Back
Top Bottom