Biashara ipi yenye faida kati ya bodaboda na salon ya kiume

FRELIMO

Member
Joined
Apr 12, 2014
Posts
42
Reaction score
4
Habar wanajamvi naomba kufahamishwa juu ya biashara ipi inafaida kuzidi ingine kati ya bodaboda na salon ya kiume kwa maeneo ya mkoa shinyanga nina tsh:2000000 but kama kuna kitega uchumi kingine profitable zaidi tofauti na hizo msaada tafadhali kwa mwenye expernce
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…