OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Euphoria
a feeling or state of intense excitement and happiness.
Habari wakuu,
Hii ni Dira ya maendeleo binafsi kwa wapambanaji wote. Biashara inayozingatia uwekezaji ktk kutoa huduma za mihemko kisasa zaidi haiwezi kumtumpa mtu.
Zifuatazo ni boashara zitakazo nitajirisha mwaka 2035. Nitachagua moja kati ya hizi
Ukumbi wa kuonyesha mpira wa kisasa zaidi unaofanana na movie theatre.
Ukumbi utakuwa wa duara kimuonekano utakuwa kama uwanja wa mpira kwa nje, kutakuwa na matangazo makubwa ya kisasa, utachukua watu 400 hadi 500, kutakuwa na TV kubwa za kisasa kama zile za studio za Azam, kutakuwa na feni au AC za kisasa, tiles kwa chini na ukutani na taa za rangi rangi, majukwaa ya kisasa ya kukalia
utafanana na huu
Huu ukumbi utatumika kwa matumizi mbali mbali kama vile harusi na mikutano
Gharama ya ukumbi 40-50 milioni
Danguro
Nitajenga jengo lenye vyumba 25, litakuwa la kisasa zaidi na kutakuwa na watu wa usafi. Hili danguro utalipia elfu tano kwa kila saa moja na nusu, ukiwa na demu ukiingia utalipa elfu kumi kisha masaa utakayotumia chenji ikibaki utarudishiwa.
Pombe zitakuwepo muziki utakuwepo
Hizi ndizo biashara zitakazo nitajirosha mwaka 2035
Nakaribisha maoni kinzani
a feeling or state of intense excitement and happiness.
Habari wakuu,
Hii ni Dira ya maendeleo binafsi kwa wapambanaji wote. Biashara inayozingatia uwekezaji ktk kutoa huduma za mihemko kisasa zaidi haiwezi kumtumpa mtu.
Zifuatazo ni boashara zitakazo nitajirisha mwaka 2035. Nitachagua moja kati ya hizi
Ukumbi wa kuonyesha mpira wa kisasa zaidi unaofanana na movie theatre.
Ukumbi utakuwa wa duara kimuonekano utakuwa kama uwanja wa mpira kwa nje, kutakuwa na matangazo makubwa ya kisasa, utachukua watu 400 hadi 500, kutakuwa na TV kubwa za kisasa kama zile za studio za Azam, kutakuwa na feni au AC za kisasa, tiles kwa chini na ukutani na taa za rangi rangi, majukwaa ya kisasa ya kukalia
utafanana na huu
Huu ukumbi utatumika kwa matumizi mbali mbali kama vile harusi na mikutano
Gharama ya ukumbi 40-50 milioni
Danguro
Nitajenga jengo lenye vyumba 25, litakuwa la kisasa zaidi na kutakuwa na watu wa usafi. Hili danguro utalipia elfu tano kwa kila saa moja na nusu, ukiwa na demu ukiingia utalipa elfu kumi kisha masaa utakayotumia chenji ikibaki utarudishiwa.
Pombe zitakuwepo muziki utakuwepo
Hizi ndizo biashara zitakazo nitajirosha mwaka 2035
Nakaribisha maoni kinzani